Huu mtihani ukishafanywa una expire lini? what is the validity time period?
Valid kwa miaka miwili tangia ulipofanya. Baada ya hapo yabidi ufanye tena. Hii ni kwa IELTS Academic ila kwa
IELTS General sijajua kama inaexpire in the same 2 yrs
Huu mtihani ukishafanywa una expire lini? what is the validity time period?
Sisemi kuwa unapotosha, ila katika site ya IELTS inaelekeza kuwa kuna test centre moja tu Tanzania, na hiyo ni British Council. Mi mwenyewe ilibidi nifanyie hapo hapo. Anyone can follow the link below inayooonyesha testing centres za IELTS all over the world. Huenda ya St. John ni certification ingine. Pia nimepiga simu British Council na wali confirm kuwa they are the only testing centre - 0686 888 000. Ni katika kusaidiana tu. Much love.
http://www.ielts.org//test_centre_s...ubRegion=b6f2baa8-ab6a-475e-adc3-fa42bfb11270
kaka tunazungumzia IELTS - INTERNATIONAL ENGLISH LANGUAGE TEST STANDARD,popote itakapohitajika IELTS ndo hiyo hao ni representative kaka anyway tuyaache,ila jua popote waliporusiwa na wakafanya hiyo test ni sawa,na isije nikawa napoteza nguvu wala huifaham,usiku mwema