Mtihani wa IELTS pale british council.

Mtihani wa IELTS pale british council.

mischa

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
367
Reaction score
177
Habari wana jamvi,

Ninajiandikisha kufanya huu mtihani hapo British council,kuna hivi vitu:
Ordering the specimen pack - TZS 55,00010-hour IELTS preparation workshop - TZS 150,000.

Je?ni vya ulazima.

maana mpaka na hapa 350,000/nzima ishanitoka.

naombeeni msaada wenu katika hili.
 
Habari wana jamvi,

Ninajiandikisha kufanya huu mtihani hapo British council,kuna hivi vitu:
Ordering the specimen pack - TZS 55,00010-hour IELTS preparation workshop - TZS 150,000.

Je?ni vya ulazima.

maana mpaka na hapa 350,000/nzima ishanitoka.

naombeeni msaada wenu katika hili.

Ni muhimu sana bro kwan sample za hzo paper zko humo,kuhusu
Specimen pack npm ntakuuzia kwa kwa bei poa coz nilisha fanya.


specemen
 
Habari wana jamvi,

Ninajiandikisha kufanya huu mtihani hapo British council,kuna hivi vitu:
Ordering the specimen pack - TZS 55,00010-hour IELTS preparation workshop - TZS 150,000.

Je?ni vya ulazima.

maana mpaka na hapa 350,000/nzima ishanitoka.

naombeeni msaada wenu katika hili.

mi nlijipima ONline tu .na nlipiga band 7.0 , so mi sioni haja .. search google , utapata material za kutosha , kwa listening module unafanya na kujibu online pia .
 
Duu sema hiyo pesa ni ndefu sana,huwezi amini me nimepiga hiyo test na kupata certficate kwa 5000 tu chuon kwetu na certificat nimepewa,hiyo hatari
 
Duu sema hiyo pesa ni ndefu sana,huwezi amini me nimepiga hiyo test na kupata certficate kwa 5000 tu chuon kwetu na certificat nimepewa,hiyo hatari

kipenzi ingekuwa ilets inawezekana kupatikana kwa elfu 5 tu sidhani kama tungehangaishwa hivyo unadanganya na kama ni kweli tuambie hiyo shule labda si tanzania na mlipewa msaada.
 
kipenzi ingekuwa ilets inawezekana kupatikana kwa elfu 5 tu sidhani kama tungehangaishwa hivyo unadanganya na kama ni kweli tuambie hiyo shule labda si tanzania na mlipewa msaada.

kaka sina tabia ya kudanganya,ni st. john's university of Tanzania,Dodoma tulilipishwa kwa 5000 tu na baadhi ya vyuo 50,000,
 
Certificate hiyo kaka,sina haja ya kuongopa habari za udaku na umbea ni facebook na jukwaa la gossip/comedy na sio hapa
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1375819247913.jpg
    uploadfromtaptalk1375819247913.jpg
    58 KB · Views: 586
Certificate hiyo kaka,sina haja ya kuongopa habari za udaku na umbea ni facebook na jukwaa la gossip/comedy na sio hapa

Hiyo ni ya st.john.....haisound kama ya British council.
 
Hiyo ni ya st.john.....haisound kama ya British council.

kaka tunazungumzia IELTS - INTERNATIONAL ENGLISH LANGUAGE TEST STANDARD,popote itakapohitajika IELTS ndo hiyo hao ni representative kaka anyway tuyaache,ila jua popote waliporusiwa na wakafanya hiyo test ni sawa,na isije nikawa napoteza nguvu wala huifaham,usiku mwema
 
kaka tunazungumzia IELTS - INTERNATIONAL ENGLISH LANGUAGE TEST STANDARD,popote itakapohitajika IELTS ndo hiyo hao ni representative kaka anyway tuyaache,ila jua popote waliporusiwa na wakafanya hiyo test ni sawa,na isije nikawa napoteza nguvu wala huifaham,usiku mwema

Kuna vyuo vya uingereza....wanatambua IELTS ambayo inatolewa na British Council only....mfano mzuri ni Southampton na Central Birmingham universities....ndo maana nikasema hivyo!
Unaweza ku-make follow up of this kujiridhisha.
 
Kulikuwa kuna michezo michafu inafanyika pale..hadi baadhi ya staff wakafukuzwa kazi...majibu yanaandikwa kwa penseli...then kuna watu wanakula mlungula just wakurekebishie.......

Bongo hii ni nooooooma
 
Kijana ukisikia hizo test chuo wametoa,chuo inakuwa kama kituo wanaosimamia na kuoganize ni watu wenyewe mbele sio tu kabwela yeyote na sio kiholela,na wanazunguka sehem nyingi,hiyo certificat mim naitumia popote kijana,
 
Nakumbuka nilipokuwa chuo tulifanya hiyo paper kwa buku 5 yukapewa na certificate dah kitambo!
 
Certificate hiyo kaka,sina haja ya kuongopa habari za udaku na umbea ni facebook na jukwaa la gossip/comedy na sio hapa

Ndugu hicho sio cheti cha IELTS ni cha English Proficiency cha St John. IELTS viko standardized worldwide na vina details za kutosha na hutolewa na organisation Tatu tu worldwide otherwise ni void

1. University of Cambridge ESOL Examinations,
2. The British Council
3. IDP Education Pty Ltd
In short hakuna Test ya Tsh 5000 for IELTS
 
Ndugu hicho sio cheti cha IELTS ni cha English Proficiency cha St John. IELTS viko standardized worldwide na vina details za kutosha na hutolewa na organisation Tatu tu worldwide otherwise ni void

1. University of Cambridge ESOL Examinations,
2. The British Council
3. IDP Education Pty Ltd
In short hakuna Test ya Tsh 5000 for IELTS

Bora umefafanua...maana kuna jamaa alipata nafasi ya kusoma UK....Sharti ilikuwa awe na cheti hicho from British Council only kwa hapa tz.
 
Huu mtihani ukishafanywa una expire lini? what is the validity time period?
 
Certificate hiyo kaka,sina haja ya kuongopa habari za udaku na umbea ni facebook na jukwaa la gossip/comedy na sio hapa
hiyo ni certificate ya english proficiency na sio kama zile za IELTS au TOEFL.. sa we tumia hicho cheti chako afu test zali kama unaomba kusoma masterz uk, canada, usa or australia usikie balaa lake....
 
Kuna vyuo vya uingereza....wanatambua IELTS ambayo inatolewa na British Council only....mfano mzuri ni Southampton na Central Birmingham universities....ndo maana nikasema hivyo!
Unaweza ku-make follow up of this kujiridhisha.

Afadhali ujulishe watu! Wakiulizwa walete results za IELTS waanze kuleta vya St. John itakuwa noma na aibu juu yake. Watu walio na experience it's always good to educate your counterparts. Na nyie mkiwa mnaelezwa ACHENI UBISHI! ni katika kusaidiana, ama?
 
Kijana ukisikia hizo test chuo wametoa,chuo inakuwa kama kituo wanaosimamia na kuoganize ni watu wenyewe mbele sio tu kabwela yeyote na sio kiholela,na wanazunguka sehem nyingi,hiyo certificat mim naitumia popote kijana,

Sisemi kuwa unapotosha, ila katika site ya IELTS inaelekeza kuwa kuna test centre moja tu Tanzania, na hiyo ni British Council. Mi mwenyewe ilibidi nifanyie hapo hapo. Anyone can follow the link below inayooonyesha testing centres za IELTS all over the world. Huenda ya St. John ni certification ingine. Pia nimepiga simu British Council na wali confirm kuwa they are the only testing centre - 0686 888 000. Ni katika kusaidiana tu. Much love.

http://www.ielts.org//test_centre_s...ubRegion=b6f2baa8-ab6a-475e-adc3-fa42bfb11270
 
Back
Top Bottom