Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,426
Balozi Ally Karume, mwanaccm aliyeshiriki Makandokando yote ya kuhujumu chaguzi za Zanzibar ili kuibeba CCM, na ambaye hivi karibuni ameamua kutubu na kumrejea Muumba wake kwa kusema ukweli mtupu, kwamba CCM bila wizi na mbele ya Uchaguzi huru na haki haiwezi kushinda chochote Zanzibar, hatimaye ameitwa kwenye kamati ya maadili ya chama hicho huko Kisiwandui
Kikao cha kumjadili kimepangwa kufanyika ijumaa tarehe 16/6/2023 huko Kisiwandui.
Toa maoni yako
Kikao cha kumjadili kimepangwa kufanyika ijumaa tarehe 16/6/2023 huko Kisiwandui.
Toa maoni yako