donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Mkuu umeelezea vizuri. By the way, Mimi ni mtwamvinaSijawahi kuona Uzi mbaya Kama huu,nimesoma kwa uchungu mpaka machozi yamenitoka.
Hatujawahi kumsema vibaya milambo na Wala mkwawa hakufanya kwa sifa kuwa anamzidi milambo. Sijajua popote Kama waliwahi kufundisha kuwa mkwawa Ni zaidi ya milambo Ila huwa wanafundisha mema yake tuu. Naona umeamua tuu kumtukana MTWA MKWAVINYIKA Mtu mwenye ardhi kubwa! Kwanza mkwawa ana muheshimu Sana Mirambo na walioleana watoto
Kwa heshima mbwa wewe ilipaswa hata kufuta thread yako.
Ngoja nikupe machache kunihusu MTWA MKWAVINYIKA ambaye alifanya makubwa kabla ya kufikisha hata miaka 50
-Baada ya kifo Cha Mtwa Munyigumba uhehe iliyokuwa ndogo Sana iligawanyika katika pande mbili, upande mmoja uliangushwa na himaya hii kuwa mikononi mwa jitu, Jitu haswa! Mpana wa mwili, nguvu, uchawi na mwerevu shujaa wa Vita Tena anatajwa kuwa Askari mwenye mbio zaidi Duniani!
Ntakupa historia fupi tuh kuwa mwishoni mkwawa aliunganisha vikosi na kumuangusha huyu mwamba katika Vita kubwa mno uhehe!
Namkubali Mtwa Milambo Ila Hakuishi wakati wa mashambulizi makali nikimaanisha baada ya Berlin 1884--- angepigwa tuu Kama mwamba wa wakati wote Samoli Toure!
- Mtwa mkwawa alikuwa na kiwanda Cha Magobole sio Mirambo pekee Kama ulivyoaminishwa. Alikuwa na kiwanda Cha uhunzi Cha kutengeneza Vifaa mbalimbali Kama vya kilimo
- Mkwawa alitengeneza mfumo wa biashara uliyoiingizia uhehe pesa mingi
- Mkwawa alitawala ardhi kubwa ya Iringa, kuanzia kitonga milimani mpaka mgololo karibu na makambako na kote alizurula saa kwa miguu. Ila hakuridhika alipiga himaya ya wabena, alimpiga msangu na kuweka mpaka wake karibu na mnyakyusa huku na safari ilikuwa inaendelea.
- Mtwa mkwawa alishuhudia mashambulio yasiyo pimika kutoka kwa mzungu na vipigo vyote hivyo aliweza kuwashinda, Kuna kipigo Cha Tosa maganga, Kuna kumbukumbu za kikatili eneo la Kitanzini... Wakati furani Gavana wa kijerumani aliniuliza huyu Mkwawa Ni Mtu, Mto au Kisiki?
- Best of all ni kuua Askari 3000 wa kijerumani wakiongozwa na kanali wa Vita mkongwe von Zelewisky pamoja na majenerali wengine wa Vita wakati huo.
- Kifo Cha Mkwawa kilitokana na kuchoka kwa Jeshi kwani amekuwa mtu wa Vita nyakati zote za utawala wake, kikubwa zaidi alisalitiwa na sub chiefs walio toa Siri kwa ahadi ya kupewa madaraka makubwa!
- Mtwa mkwawa aliulika akiwa katika Hali ya ugonjwa mno! Njaa isiyo kipimo akibakiwa na wadzungwa waaminifu watatu vijana wadogo
Kikubwa zaidi Je unaweza ukaamini Mtwa Mkwawa amefanya yote hayo kwa kipindi Cha si zaidi ya miaka 20 tuuu? Kuunganisha kabila, kulipa nguvu na kupambana na maadui jirani na wazungu ndani ya miaka 20 unaweza kuamini??
Nimeelekeza machache tuu kumuhusu Mkwawa ulivyoamua kumdogolesha imeniuma Sana, sijui mtu huyu angeishi nyakati nzuri Kama Milambo uhehe ingekuweje?
Hapo kwenye jwtz ndio ulipokoseaKwa nguvu ya Mtwa Mkwawa hata JWTZ ya leo ingepata shida Sana kumdhibiti
Mimi siwezi kumfananisha Mtwa Mkwawa na Milambo, au Mtwa Mkwawa na Mtwa Isike
Ninachoweza kukwambia Ni kuwa Mtwa Mkwawa anawazidi Maraisi wote wa Tanzania ya Leo walimuondoa mapema tuuu Ila angeweza hata kufika 1930- 1940 hivi
Habari zenu wakuu.
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa wa historia hasa linapokuja suala la uwezo wa Mwafrika kutokupewa sifa zinazotakiwa kama ilivyo kwa hayati J.K. Nyerere na Nelson Mandela. Afrika inaaminishwa Mandela ni zaidi ya Nyerere hiki ni kituko.
Kuna hili pia la Chief Mirambo na chief Mkwawa eti sifa kubwa anapewa Mkwawa ili tumuone ndio shujaa wetu na pia alipambana akashindwa na wazungu. Nadhani wanataka kutujengea mazingira ya kuwasujudia na kuwaogopa. Itawezekanaje uniamnishe shujaa wangu wa kuigwa ni yule aliyepigwa wakati kuna waliopiga?
Baada ya kuifatilia historia ya mtemi Mirambo a.k.a. Napoleon wa Afrika kama alivyojulikana na wazungu nimegundua kuna upotoshaji mkubwa wa historia.
Chief Mkwawa japo naye si haba ila kwa chief Mirambo hatii mguu hata kucha.
Nguvu za jeshi la Mirambo kwa Afrika mashariki alikuwa hana wakumlingasha. Ndiye aliyetawala eneo kubwa kuliko machief wengine. Tabora mpaka Kigoma eneo lake lilipakana na ziwa Tanganyika japo aliona haitoshi akaingia mpaka Burundi akapiga himaya ya Urundi akasambaratisha.
Wakati Mkwawa anasilaha za jadi kabla hajaletewa bunduki moja na Mwarabu, Mirambo alikuwa anatengeneza bunduki yeye mwenyewe na alimiliki jeshi lilikowa na active personnel zaidi ya 10000.
Hapakuwa na cha mzungu wala mwarabu aliyeleta fyoko kwenye himaya yake aliua kama anau panzi tu ikabidi wafate masharti yake kila wanapopita kwenda Zambia na Kongo walimlipa kodi kwa kuikanyaga ardhi yake huna kodi mzigo wote unabaki na kuwa mali yake.
Wafipa walijichanganya hawakumjua vizuri kichwa chake kikoje. Huyu jamaa alikuwa hana masihara kabisaa!
Wazungu baada ya kubanwa sana waliomba nguvu ya jeshi kutoka kwa sultan wa Zanzibar wakimwambia kwamba Napoleon wa Afrika anataka kuiharibu biashara yako kwakuwa ndiye alikuwa mnunuzi mkubwa wa pembe za ndovu na watumwa kutoka Zaire na Zambia.
Sultan akatuma askari 3000 kuja kuongeza nguvu kwa wazungu wakishirikiana na jeshi la snitch wa Mirambo alikuwa anaitwa Chief Mkasiwa. Jamaa walinyoosha mikono sultan akaona anamaliza watu wake akaamuru jeshi lake lililosalia lirudi Zanzibar haraka walikuwa wamebaki 1500 ndio waliokuwa wamesalimika na jeshi la awali la Mtemi Mirambo lililokuwa likiitwa Luga Luga (walugaluga).
Mtemi Mirambo alikuwa na majeshi matatu ambayo aliyapanga kwa ubora kutoka la kwanza hadi la tatu. Jeshi kali kabisa lenye mafunzo na uwezo wa juu kabisa liliitwa Abaoko kama sijakosea herufi.
Sasa Mkwawa aliuza mali zake kwa Mwarabu pembe za ndovu na kuletewa nguo Mirambo hakuuza mali zake bali alichukua za wazungu walizokuwa wamekusanya sehemu mbalimbali.
Mirambo alichukua watumwa kutoka mikononi mwa wazungu na waarabu na kuwasajili kwenye jeshi lake. Yaani unapomtaja Mirambo jua unataja habari kubwa.
Sasa historia za namna hii zinafichwa na kuoneshwa historia dhaifu ya kumtukuza mzungu kuwa ni bora.
Mtemi Mirambo alifariki kwa ugonjwa wa rovu miaka ya 1880.
Nimeweka hapa kwa kifupi sana. Kwa mwenye interest anaweza kufatilia ahakikishe mwenyewe.
MAGUFULI4LIFE.
Umekuza sana story za Mtemi Mirambo.
Jamaa alikuwa mtemi wa kawaida sana, ila alikuwa anajimwambafai kama Magufuli.
Hivi unajua Mirambo ndio mtemi maarufu aliyekuwa akipenda hongo?
Hivi unajua Mtemi Mirambo alikuwa mfanyabiashara maarufu wa watumwa kwa huku bara?
Hivi unajua Mtemi Mirambo alikuwa mtemi aliyekuwa na mikataba mingi zaidi ya kibiashara za kilaghai ambayo alifanya na waarabu, wajerumani.
Kuhusu Mtemi Mkwawa hiyo ni level nyingine kabisa. Misimamo yake isiyoyumba, nidhamu ya askari wake na mbinu za medani za kivita alizokuwa nazo, mpaka leo hii wajerumani wanampigia saluti.
Kama hujui tu, Mkwawa aliwachinja mpaka wamisionari wa kizungu waliofika kwenye himaya yake ambao kiasili walikuwa hawaguswi maana enzi zile walionekana kama wajumbe wa amani (malaika!).
Ndio ila ilikuwa ni kulipiza kisasi baada ya kuuwawa askari wake tofauti na Mirambo ambaye kuua hakungoja watu wake kwanza wauliwe wazungu waliokiuka tu masharti yake aliua. Ukiongelea Chief aliyekuwa mbabe Afrika mashariki unamuongelea Mirambo.Yaani ilibidi wachukue kichwa kwa ajili ya uchunguzi... Kwamba huyu jamaa alikuwa Mwafrika halisi au...
For sure, Mkwawa alikuwa mtemi... Salute kwake...
Von Bolowisky si ndo aliuwawaga na huyu mwamba au?
Habari zenu wakuu.
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa wa historia hasa linapokuja suala la uwezo wa Mwafrika kutokupewa sifa zinazotakiwa kama ilivyo kwa hayati J.K. Nyerere na Nelson Mandela. Afrika inaaminishwa Mandela ni zaidi ya Nyerere hiki ni kituko.
Kuna hili pia la Chief Mirambo na chief Mkwawa eti sifa kubwa anapewa Mkwawa ili tumuone ndio shujaa wetu na pia alipambana akashindwa na wazungu. Nadhani wanataka kutujengea mazingira ya kuwasujudia na kuwaogopa. Itawezekanaje uniamnishe shujaa wangu wa kuigwa ni yule aliyepigwa wakati kuna waliopiga?
Baada ya kuifatilia historia ya mtemi Mirambo a.k.a. Napoleon wa Afrika kama alivyojulikana na wazungu nimegundua kuna upotoshaji mkubwa wa historia.
Chief Mkwawa japo naye si haba ila kwa chief Mirambo hatii mguu hata kucha.
Nguvu za jeshi la Mirambo kwa Afrika mashariki alikuwa hana wakumlingasha. Ndiye aliyetawala eneo kubwa kuliko machief wengine. Tabora mpaka Kigoma eneo lake lilipakana na ziwa Tanganyika japo aliona haitoshi akaingia mpaka Burundi akapiga himaya ya Urundi akasambaratisha.
Wakati Mkwawa anasilaha za jadi kabla hajaletewa bunduki moja na Mwarabu, Mirambo alikuwa anatengeneza bunduki yeye mwenyewe na alimiliki jeshi lilikowa na active personnel zaidi ya 10000.
Hapakuwa na cha mzungu wala mwarabu aliyeleta fyoko kwenye himaya yake aliua kama anau panzi tu ikabidi wafate masharti yake kila wanapopita kwenda Zambia na Kongo walimlipa kodi kwa kuikanyaga ardhi yake huna kodi mzigo wote unabaki na kuwa mali yake.
Wafipa walijichanganya hawakumjua vizuri kichwa chake kikoje. Huyu jamaa alikuwa hana masihara kabisaa!
Wazungu baada ya kubanwa sana waliomba nguvu ya jeshi kutoka kwa sultan wa Zanzibar wakimwambia kwamba Napoleon wa Afrika anataka kuiharibu biashara yako kwakuwa ndiye alikuwa mnunuzi mkubwa wa pembe za ndovu na watumwa kutoka Zaire na Zambia.
Sultan akatuma askari 3000 kuja kuongeza nguvu kwa wazungu wakishirikiana na jeshi la snitch wa Mirambo alikuwa anaitwa Chief Mkasiwa. Jamaa walinyoosha mikono sultan akaona anamaliza watu wake akaamuru jeshi lake lililosalia lirudi Zanzibar haraka walikuwa wamebaki 1500 ndio waliokuwa wamesalimika na jeshi la awali la Mtemi Mirambo lililokuwa likiitwa Luga Luga (walugaluga).
Mtemi Mirambo alikuwa na majeshi matatu ambayo aliyapanga kwa ubora kutoka la kwanza hadi la tatu. Jeshi kali kabisa lenye mafunzo na uwezo wa juu kabisa liliitwa Abaoko kama sijakosea herufi.
Sasa Mkwawa aliuza mali zake kwa Mwarabu pembe za ndovu na kuletewa nguo Mirambo hakuuza mali zake bali alichukua za wazungu walizokuwa wamekusanya sehemu mbalimbali.
Mirambo alichukua watumwa kutoka mikononi mwa wazungu na waarabu na kuwasajili kwenye jeshi lake. Yaani unapomtaja Mirambo jua unataja habari kubwa.
Sasa historia za namna hii zinafichwa na kuoneshwa historia dhaifu ya kumtukuza mzungu kuwa ni bora.
Mtemi Mirambo alifariki kwa ugonjwa wa rovu miaka ya 1880.
Nimeweka hapa kwa kifupi sana. Kwa mwenye interest anaweza kufatilia ahakikishe mwenyewe.
MAGUFULI4LIFE.
Na ww unakosea pahala, wanopotosha hawajui na sidhani kama wanajua ili wapotoshe makusudi LAKINI kikubwa kwakl unayejua andika hii historia adhimu ya mirambo kwa upana bila woga andika bila kulamamika andika bila kuangalia nani nakwanini wanapotosha narudia kosa lako unawangwanya wapoyoshaji umeanza kulalamika, kumbe ungeokoa jahazi la ukweli kwa wewe kuandika historia ya mirambo kwa sahihi mara kwa mara na unatoa na ushahidi ungewashinda wasiojuaHabari zenu wakuu.
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa wa historia hasa linapokuja suala la uwezo wa Mwafrika kutokupewa sifa zinazotakiwa kama ilivyo kwa hayati J.K. Nyerere na Nelson Mandela. Afrika inaaminishwa Mandela ni zaidi ya Nyerere hiki ni kituko.
Kuna hili pia la Chief Mirambo na chief Mkwawa eti sifa kubwa anapewa Mkwawa ili tumuone ndio shujaa wetu na pia alipambana akashindwa na wazungu. Nadhani wanataka kutujengea mazingira ya kuwasujudia na kuwaogopa. Itawezekanaje uniamnishe shujaa wangu wa kuigwa ni yule aliyepigwa wakati kuna waliopiga?
Baada ya kuifatilia historia ya mtemi Mirambo a.k.a. Napoleon wa Afrika kama alivyojulikana na wazungu nimegundua kuna upotoshaji mkubwa wa historia.
Chief Mkwawa japo naye si haba ila kwa chief Mirambo hatii mguu hata kucha.
Nguvu za jeshi la Mirambo kwa Afrika mashariki alikuwa hana wakumlingasha. Ndiye aliyetawala eneo kubwa kuliko machief wengine. Tabora mpaka Kigoma eneo lake lilipakana na ziwa Tanganyika japo aliona haitoshi akaingia mpaka Burundi akapiga himaya ya Urundi akasambaratisha.
Wakati Mkwawa anasilaha za jadi kabla hajaletewa bunduki moja na Mwarabu, Mirambo alikuwa anatengeneza bunduki yeye mwenyewe na alimiliki jeshi lilikowa na active personnel zaidi ya 10000.
Hapakuwa na cha mzungu wala mwarabu aliyeleta fyoko kwenye himaya yake aliua kama anau panzi tu ikabidi wafate masharti yake kila wanapopita kwenda Zambia na Kongo walimlipa kodi kwa kuikanyaga ardhi yake huna kodi mzigo wote unabaki na kuwa mali yake.
Wafipa walijichanganya hawakumjua vizuri kichwa chake kikoje. Huyu jamaa alikuwa hana masihara kabisaa!
Wazungu baada ya kubanwa sana waliomba nguvu ya jeshi kutoka kwa sultan wa Zanzibar wakimwambia kwamba Napoleon wa Afrika anataka kuiharibu biashara yako kwakuwa ndiye alikuwa mnunuzi mkubwa wa pembe za ndovu na watumwa kutoka Zaire na Zambia.
Sultan akatuma askari 3000 kuja kuongeza nguvu kwa wazungu wakishirikiana na jeshi la snitch wa Mirambo alikuwa anaitwa Chief Mkasiwa. Jamaa walinyoosha mikono sultan akaona anamaliza watu wake akaamuru jeshi lake lililosalia lirudi Zanzibar haraka walikuwa wamebaki 1500 ndio waliokuwa wamesalimika na jeshi la awali la Mtemi Mirambo lililokuwa likiitwa Luga Luga (walugaluga).
Mtemi Mirambo alikuwa na majeshi matatu ambayo aliyapanga kwa ubora kutoka la kwanza hadi la tatu. Jeshi kali kabisa lenye mafunzo na uwezo wa juu kabisa liliitwa Abaoko kama sijakosea herufi.
Sasa Mkwawa aliuza mali zake kwa Mwarabu pembe za ndovu na kuletewa nguo Mirambo hakuuza mali zake bali alichukua za wazungu walizokuwa wamekusanya sehemu mbalimbali.
Mirambo alichukua watumwa kutoka mikononi mwa wazungu na waarabu na kuwasajili kwenye jeshi lake. Yaani unapomtaja Mirambo jua unataja habari kubwa.
Sasa historia za namna hii zinafichwa na kuoneshwa historia dhaifu ya kumtukuza mzungu kuwa ni bora.
Mtemi Mirambo alifariki kwa ugonjwa wa rovu miaka ya 1880.
Nimeweka hapa kwa kifupi sana. Kwa mwenye interest anaweza kufatilia ahakikishe mwenyewe.
MAGUFULI4LIFE.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ww jamaaWakati Legend Mirambo anapambania uhai wake kwa kulishwa kichwa cha mbwa, Legend MKWAWA alikua anakunywa supu ya mbwa tena supu ya kichwa.
Yote kwa yote nimejifunza kitu kipya, shukrani mlugaluga
Jitahidi basi na ww kuandika mirambo sio milambo..r na l zinakushidajeSoma vizuri historia ya mtemi Milambo.
Au Nenda sehemu moja iitwayo Ulyankulu ndiko kuna kabuli Lake pia kuna mjukuu wake kama sikosei wa pili atakupa story kamili.
Pia kabuli Lake limeandikwa kabisa kuwa huyu mwamba alikuwa ni shujaa wa Africa.
Nikaijaaliwa nitaleta picha ya kabuli lake.
Milambo amekulia Uyowa, huko Urambo. Hapo kwihara ilikua ikulu ya mtemi wa nyanyembe na ndio alikua shoga zake waarabu. Kaburi lake lipo Urambo, makazi yake yapo urambo pia. Ni kweli Milambo alikua na uwezo mkubwa kivita, alikua haogopi kitu. Milambo alikua mlevi na mvuta bangi pia. Uwezo wake wa kivita umeipa jina kambi ya jeshi Tabora, Milambo Ballacks. Mkwawa nae hakua wa mchezo, tofauti na Milambo yeye alikua na ushauri wa waarabu waliomshauri akawa muislam, hivyo vita zilikua chache upande wake."Wakati Mkwawa anasilaha za jadi kabla hajaletewa bunduki moja na Mwarabu, Mirambo alikuwa anatengeneza bunduki yeye mwenyewe na alimiliki jeshi lilikowa na active personnel zaidi ya 10000"
Si kwa nia ya kuweka mashindano baina ya mashujaa wetu wa TZ sababu wote kwa nafasi na wakati wao walitetea na kupigania watu wao,
Kuna mwalimu wangu wa form two alikua na degree ya Historia kabisa( tuliambiwa hivyo) alikua anapenda kutuita walugaluga (vijana wa kiume) , baada ya kumuuliza kwanini anapenda kutuita hivyo ndio akatumbia kuwa walugaluga lilikua jina la wanajeshi wa mtemi Mirambo na kutuhadhithia story ya Mtemi Mirambo katika upande ambao sikuwahi kuskia kabla, jamaa alikua mwamba, hodari na shupavu kiongozi kiukweli nilitamani hata mtu angeitengeneza Muvi.
NB: sidhani kama kuna ushahidi wa kutosha kumsupport chief Mirambo coz niliwahi kwenda Kwihara kwenye eneo la kumbukumbu za kihistoria pale TBR bt sikukutana na recods zakutosha sana kumuhusu, pia wakati napita kurudi town kwa mbaali nikaonyeshwa yaliyokuwa makazi yake pia ilikua kawaida sana.
Tujuze ni kwenye kitabu kipi qameeleza kwani hata kwenye kitabu chake hajaelwzaMkuu walikuwa wanatenteneza vipi bunduki?
Ngoja niongezee nyama kutoka kwenye maandishi ya Henry Morton Stanley.
Stanley, akiwa katika safari yake ya kwenda Ujiji alipofika Tabora akaambiwa njia ya kwenda Ujiji imefungwa na Chief Milambo baada ya wafanyabiashara wa kiarabu waliokuwa wakiishi unyanyembe kugoma kulipa hongo (kodi) ili kukatiza katika himaya ya Chief Milambo na kuelekea Ujiji.
Basi Chief wa unyanyembe Chief Mkasiwa, waarabu na Stanley wakapanga mkakati wa kwenda kuvamia himaya ya Chief Milambo.
Mapambano yalipopamba moto waarabu wakakimbia wakamwacha Stanley mstari wa mbele...milambo akateka sehemu kubwa ya jeshi la waarabu Stanley na wajakazi wake walifanikiw kutoka. Kwenye kitabu chake aliwalaumu sana waarabu kwa kutomwambia ukweli Juu ya uwezo wa Chief Milambo na Pia aliwatukana sana kwa kitendo cha kukimbia wakati wa mapambano. Hivyo akaamua kuzunguukia Rukwa ili aweze kufika kigoma.
Afu kama kuna watani wangu wanyamwezi humu. Nitawaambia kitu kimoja. Msijivunie Mirambo sana kwani sio mtu wenu. Mababu wa Mirambo ni watu wa kutoka katika milima ya Usagara iliyopo Morogoro. Waliokuja huko kuwinda tembo na kufanya biashara na kuanzisha kijiji cha Usagali....Hivyo mtupe heshima nyie...
wanasema Mirambo alikua mrefu wa kimo, imekuaje asili yake iwe morogoro na tunajua watu wa morogoro ni wafupi wa kimo?
naomba ufafanuzi zaidi wa hilo la asili ya morogoro.
cc Kasie
Nna njaa mwendhio....
Hapa nimeamkia kwa mama kuluthumu nasubiria mihogo ya kukaanga iive nile na chachandu.
Milambo Babu yangu mkubwa..... huyo anayetaka kumtawaza awe mruguru anabalaa.