Yule jamaa wa Kova anayedaiwa kumteka ulimboka ni mgonjwa wa akili. Alikutwa kanisani anafanya fujo kwa kupiga watu na kutukana ovyo. Wakamkamata wakamfunga akawa anatoa vitisho kuwa yeye ni mtu hatari ndiye aliyemtesa ulimboka. Akapelekwa kituo cha polisi ili kanisani pawe shwari, hapo ndipo Kova na jamaa zake wakapata kichaka kingine cha kujifichia.
Utaalamu ni kuwa ugonjwa wa akili alionao huyu jamaa unajulikana kama MANIA. Na jinsi alivyojipresent ni kuwa alikuwa na delusions yaani mtu kujiona kuwa yuko katika hali fulani ya juu tofauti na ukweli. Mfano, mtu anaweza kuamini kuwa yeye ni Roho Mtakatifu au yeye ni Mungu na ndiye anayeishikilia dunia tofauti na kweli yenyewe.
Kanisa la Gwajima limemshangaa sana Kova na wenzake kwa kupotosha ukweli.
Utaalamu ni kuwa ugonjwa wa akili alionao huyu jamaa unajulikana kama MANIA. Na jinsi alivyojipresent ni kuwa alikuwa na delusions yaani mtu kujiona kuwa yuko katika hali fulani ya juu tofauti na ukweli. Mfano, mtu anaweza kuamini kuwa yeye ni Roho Mtakatifu au yeye ni Mungu na ndiye anayeishikilia dunia tofauti na kweli yenyewe.
Kanisa la Gwajima limemshangaa sana Kova na wenzake kwa kupotosha ukweli.