Hizi halmadhauri walizozishika mwaka huu. Zitatumika Kama reference mwaka 2020.Kama chadema hawatakuwa makini wala kuonyesha utofauti wowote katika halmashaur hizo, wananchi watawaona chadema Kama ndo walewale kulwa na doto na ccm. Watawarudisha ccm na hawatataka tena kuwasikia chadema. Ila Kama halmashauri hizo zitaongozwa vizur watu watawaamini zaidi. wagombea urais ubunge na udiwani watatumia kete hiyo kushinda.
Chadema iandae utaratibu maalumu kufatilia halmashauri walizoshika. Wanaweza kujiwekea malengo yao kwa muda Fulani na kuwa na utaratibu maalumu wa kufatiliana na kuwajibishana. Vinginevyo hilo ni Bomu mmeatamia.
Chadema iandae utaratibu maalumu kufatilia halmashauri walizoshika. Wanaweza kujiwekea malengo yao kwa muda Fulani na kuwa na utaratibu maalumu wa kufatiliana na kuwajibishana. Vinginevyo hilo ni Bomu mmeatamia.