S SAIDWE JF-Expert Member Jul 11, 2015 1,113 1,291 Oct 30, 2022 #41 KeyserSoze said: Walipigwa / Atapigwa au Watapiga ? Yaani wapigaji na mpitishaji wote ni Wapigaji.... Click to expand... 200% correct!
KeyserSoze said: Walipigwa / Atapigwa au Watapiga ? Yaani wapigaji na mpitishaji wote ni Wapigaji.... Click to expand... 200% correct!
Poppy Hatonn JF-Expert Member Apr 9, 2021 2,134 2,763 Oct 31, 2022 #42 Mimi sio mtaalamu wa Uchumi. Lakini watu wengi wanasema Rais Samia anakopa hela kununulia watu peremende. Sio mikopo kwa maendeleo.
Mimi sio mtaalamu wa Uchumi. Lakini watu wengi wanasema Rais Samia anakopa hela kununulia watu peremende. Sio mikopo kwa maendeleo.