Mtazamo

mansuper

Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
16
Reaction score
1
Habari zenu jf, kuna mama mmoja nilikuwa nine panda naye gari akawa anazozana na vijana wawili akiwaambia kwa nn wamevaa mlegezo,madai ya huyu mama ameishi Mombasa at anajua maana ya mlegezo unavotumika Mombasa ,iv mwanaume aliyevaa na aliyevua yupi mwanaume halisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…