mansuper
Member
- Sep 10, 2014
- 16
- 1
Habari zenu jf, kuna mama mmoja nilikuwa nine panda naye gari akawa anazozana na vijana wawili akiwaambia kwa nn wamevaa mlegezo,madai ya huyu mama ameishi Mombasa at anajua maana ya mlegezo unavotumika Mombasa ,iv mwanaume aliyevaa na aliyevua yupi mwanaume halisi?