Teachers huhakikisha darasa linakuwa LIVE,hivyo kufanya uelewa wa jambo lifundishwalo kuwa mpana na endelevu! Tofauti kabisa na ufundishwaji na LECTERER ambapo hufanya ukariririwaji wa mada kwa ajili ya mtihani hivyo kutokuwa endelevu katika uelewa wa mfundishwa!!!
..Nonsense. Labda mseme mwalimu wa diploma ana uzoefu zaidi-hakuna la zaidi hapo. Kama utawapima kwa uzoefu wa kufundisha, hata mwenye degree atakuwa mzoefu baada ya muda mfupi. Kwa ujumla, waalimu, hasa wa kizazi hiki hamna cha kujivunia ktk taifa hili. Waalimu wengi ni vilaza mwanzo mwisho. Mnaenda ualimu kwakuwa mna four point 28 na kwakuwa mmeshinda kupata credit za kuendea chuo kikuu. Kiingereza mnachofundisha ni uongo mtupu na hata kwenye kiswahili ni shida tupu.
Nini maana ya elimu kama haiwezi kukukomboa? Mbona mmeshindwa kudai haki zenu kama kweli mnafundishwa vizuri? Mbona mmeshindwa kudai posho kama askari pamoja na kwamba mazingira ya kazi yanafanana? Hamjui kwamba chaki ni silaha kali kuliko bunduki? Shame on you!
Mkuu umeamua kutukana. Acha siasa. Jenga hoja
1.Je mfumo wa wa2 wanofeli ksomea dploma/cheti/bachelor vp?!2.Elimu ya vacty ni closed clas bt open library,colej nyng za edu ktk vacty TZ zpo so equipd!3.Kuna utofaut ktk levoz za taluma & jins ya kdeliver MATERIALS!4.Mhadhiri hawez fana2 & mkufunz!
ahsante MPATANISHI kwa upatanishi wako
Mkuu umeamua kutukana. Acha siasa. Jenga hoja
mkuu nimepitia dip marangu TTC mkuu,pale unapikwa unapikika haswaaa sitapasahau ni hatua moja muhimu katika maisha yangu. Ualimu ni zaidi ya kufundisha. Wakati nipo field himo niliwafunika masharobaro wa degree wa Mwuce. Mpaka naondoka wanafunzi wamelia machozi. Najivunia kuwa na Dip mkuu na sasa nipo shahada.
hata mm namshangaa eti 4.28 ndio tumeshindwa kwenda university?!!
Nimepita dip nikitokea advance na div II.10 safi na chuo nilipata udom na mzumbe ila mkopo walinipa 40% b'se A level nilipiga private.
Kwa kuwa sikua fit financialy na sikutaka kusumbuana na bodi mana walishakataa kuniongeza nikaamua kukamata dip 2 years na sasa namalizia shahada mbali na ualimu.
Huyu jamaa anaonekana hata ualimu haujui mana div 4 hata iwe ya 26 tangu lini akaenda university kusoma Ba. Ed?!
@Nyakageni, nimesema wengi na bado nasimama kwenye point yangu. Wengi wao hata hawana sifa ulizotaja kama mshauri,mnasihi, kiongozi nk. Hao niliotaja hapo juu kwangu ni the best angalau hawakusomea ualimu.Wana sifa zote kuanzia kufundisha mpaka sifa ulizotaja wewe. NAONGEZA WENGINE AMBAO KWANGU NITAWAKUMBUKA, NA HAWA NI WALIMU WLIOSOMEA,WANA SHAHADA HAWA; MKANDAWILE MWALIMU WA KEMIA, ALIWAHI FUNDISHA PUGU BAADAE LOLOYA, BUSANJI ALIKUWA PUGU AKAENDA MAKONGO. HAO NI MIONGONI MWA WALIMU WACHACHE SANA, NAJUA WAPO WENGI WAZURI LAKINI RATIO YA WAZURI NI NDOGO SANA 0.00000000000000001.WENGI WALIKIMBILIA HUKU BAADA YA KUONA SEHEMU NYINGINE HAWAEZI KWENDA.
Hiyo ratio uliyoitoa nadhani niyakufikirika zaidi kuliko uhalisia!!! Wewe unatakakusema unawafahamu walimu wote waliyoko shule zote za tanzania?
Unapashwa kuwa na mtizamo chanya vinginevyo shule zote za nchi hii zingekuwa na daraja la nne na zeros basi. Nashawashika kuamini kuwa walimu unaowahamu ni wale waliyokufundisha wewe na kwa maana hiyo ni wale walikufundisha masomo uliyoyasoma tu. Hivyo kuna weza kukawa na walimu wazuri tu kwenye shule hiyihiyo ila tu hawajakufundisha nao umewapeleka kule kwenye walimu wasiojua kazi yao au hawana ari ya kufundisha. Badilika bana!!!
@Nyakageni, nimesema wengi na bado nasimama kwenye point yangu. Wengi wao hata hawana sifa ulizotaja kama mshauri,mnasihi, kiongozi nk. Hao niliotaja hapo juu kwangu ni the best angalau hawakusomea ualimu.Wana sifa zote kuanzia kufundisha mpaka sifa ulizotaja wewe. NAONGEZA WENGINE AMBAO KWANGU NITAWAKUMBUKA, NA HAWA NI WALIMU WLIOSOMEA,WANA SHAHADA HAWA; MKANDAWILE MWALIMU WA KEMIA, ALIWAHI FUNDISHA PUGU BAADAE LOLOYA, BUSANJI ALIKUWA PUGU AKAENDA MAKONGO. HAO NI MIONGONI MWA WALIMU WACHACHE SANA, NAJUA WAPO WENGI WAZURI LAKINI RATIO YA WAZURI NI NDOGO SANA 0.00000000000000001.WENGI WALIKIMBILIA HUKU BAADA YA KUONA SEHEMU NYINGINE HAWAEZI KWENDA.
Teachers huhakikisha darasa linakuwa LIVE,hivyo kufanya uelewa wa jambo lifundishwalo kuwa mpana na endelevu! Tofauti kabisa na ufundishwaji na LECTERER ambapo hufanya ukariririwaji wa mada kwa ajili ya mtihani hivyo kutokuwa endelevu katika uelewa wa mfundishwa!!!
Nimekuwa kwenye fani ya ualimu kwa muda mrefu sasa, moja ya vitu nilivyogundua (baada ya research) ni kuwa walimu wazuri ni wale waliosomea diploma ya ualimu, wakaenda makazini, au makazini then chuo kikuu. Sababu ni
1. Wanajua teaching strategies zaidi ya ambao wameunganisha chuo kikuu.
2. Wanajituma kazini zaidi
3. Wanajua matumizi ya lugha nyepesi na inayoeleweka kwa wanafunzi.
4. Wana manage discipline ya darasa vyema
5. Wanapenda kujifunza mambo mapya