illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,121
Leo nimepita kwa ma supplier wengi kufanya malipo kwani tulikuwa na shughuli muhimu wiki iliyopita hivyo kutulazimu kukodi huduma mbali mbali kama vile ulinzi, vyombo vya habari, mahoteli, makampuni ya kukodisha magari na mengine mengi sasa siku ya leo nilikuwa na enda kufanya malipo kwa haraka haraka ni ofisi takriban arobaini hivi hakuna hata moja waliyonipa risiti ya kielektronoki, ikumbukwe haya ni maofisi makubwa, hoteli za nyota tano hakuna hata moja inayotoa risiti hizi, makampuni ya simu, makampuni ya ulinzi haya makubwa makubwa unayoyajua wewe lakini mjasiriamali akifungua duka lake la spea watoza ushuru lazima wamletee zengwe au ni mimi sielewi anayepaswa kutoa risiti hizi ni nani? cc Mwigulu Nchemba
Last edited by a moderator: