Kibona_Son
Member
- Dec 31, 2015
- 12
- 5
Nitaafiki na kuunga mkono kuwa kuna Elimu ni BURE iwapo tu watoto wa wakubwa Serikalini wataanza kusoma shule zetu sisi tunaoambiwa elimu ni BURE na sio shule binafsi. Kwani hii itapelekea kila mkubwa kuwa na uchungu na shule hizo na kuzisimamia kwa nguvu zote nah ii itasaidia uboreshaji wa dhati wa:-
· Miundombinu ya kufundishia
· Masilahi ya watumishi hususani walimu
· N.k
· Miundombinu ya kufundishia
· Masilahi ya watumishi hususani walimu
· N.k