BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,102
- 14,024
Just mtazamo kwenye huu ulimwengu kuna sehemu ni nzuri zinavutia machoni kuzitazama zinakupa comfortability ni raha tupu kwa mfano wale wenzetu waliopewa ahadi ya mabikra ndio anapelekwa sehemu kama hii afu anapewa vitoto vya 2000 ambavyo matiti hayajalala alafu vina mizigo unafikiri kichwani mwake atawaza nini juu ya hii place.
Afu kuna hizi sehemu ambazo ndio wengi tunazi experiance kitu comfortability sahau ni harufu za uvundo, vinyesi mazingira yanayotisha na machafu to the maximum hapa ndio mtoto wa kishua anaongea kwa kinyaa "oh this place is like hell, I can't spend more sec here"
Afu kuna hizi sehemu ambazo ndio wengi tunazi experiance kitu comfortability sahau ni harufu za uvundo, vinyesi mazingira yanayotisha na machafu to the maximum hapa ndio mtoto wa kishua anaongea kwa kinyaa "oh this place is like hell, I can't spend more sec here"