said kikaa
Senior Member
- Aug 7, 2012
- 108
- 23
habarini wanajamii, kama katika kila mwaka wa bajeti kungekua na utolewaji wa tuzo za mbunge bora,mwanamama magdalena (cuf) angestaili kupata moja ya tuzo hizo.
nimefuatilia sana michango yake.. ni mama anayetetea maslahi ya wananchi kwa dhati kubwa na kuikosoa,kuisimamia serikali ipasavyo pasipo kutumia lugha za chuki,au kuzozana na kiti. cio mama wa miongozo na utaratibu, akipewa muda atautumia vyema kuelezea mambo ya msingi. hakika ni mama hodari.
nini mtazamo wako au mbunge yupi angefaa kama tuzo za 2012/2013
zingetolewa.
nimefuatilia sana michango yake.. ni mama anayetetea maslahi ya wananchi kwa dhati kubwa na kuikosoa,kuisimamia serikali ipasavyo pasipo kutumia lugha za chuki,au kuzozana na kiti. cio mama wa miongozo na utaratibu, akipewa muda atautumia vyema kuelezea mambo ya msingi. hakika ni mama hodari.
nini mtazamo wako au mbunge yupi angefaa kama tuzo za 2012/2013
zingetolewa.