Bila kuitaja chadema naona unakuwa unawashwa washwaTUletee habari za chadema!
Nilitegemea Mbowe ndio kaandika hapa!Bila kuitaja chadema naona unakuwa unawashwa washwa
Tangu ile siku tuliopo kukurupusha umeleta mkokoteni unataka kung'oa mabati yaliondolewa sasa hakuihitaji ulinzi tena!Vipi leo siyo zamu yako ya kulinda kaburi kule Buriigii?
Lakini hii inao ujumbe makini sana. Inawezekana wewe hujaisoma vya kutosha.Katuni ni za Masoud Kipanya, Hawa wengine ni wavamizi tu wa fani!