Elimu ya hapa na pale
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 846
- 825
Hodi wana jamvi,
Leo katika taarifa ya habari nimemsikia kiongozi maalufu wa CUF. Julias Mtatiro akitaja neno BWANA YULE.
Je, Ni halali na kikatiba inakubalika?
Naombeni maoni yenu wadau wa JF.
Leo katika taarifa ya habari nimemsikia kiongozi maalufu wa CUF. Julias Mtatiro akitaja neno BWANA YULE.
Je, Ni halali na kikatiba inakubalika?
Naombeni maoni yenu wadau wa JF.
maarufu