Mtatiro, Unamaanisha nini kusema, a.k.a Bwana yule?

Mtatiro, Unamaanisha nini kusema, a.k.a Bwana yule?

Hodi wana jamvi,

Leo katika taarifa ya habari nimemsikia kiongozi maalufu wa CUF. Julias Mtatiro akitaja neno BWANA YULE.

Je, Ni halali na kikatiba inakubalika?

Naombeni maoni yenu wadau wa JF.
Mkuu unamaana Le profeseli a.ka BWANA YULE humjui.
 
umetumwa tu.
kwani hilo neno linakuhusu nini??
halafu acha umbea
 
View attachment 411630

Bwana yule kwa Ihsani ya MUTUNGWA.Huyu sio Jaji ni JIJA.
sakata hili linaharibu sana taaluma za watu aisee.Jaji na Professa kweli siasa ni kichaka.
Jaji anakwenda sambamba na sheria-ambayo ni msumeno na hukata pande zote,wewe unakwenda sambamba na ushabiki na mihemko,kama mnaona huyo siyo jaji na hatendi haki jawabu litapatikana mahakamani.
 
Back
Top Bottom