Mtanzania halisi!!

Babu Lao

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
2,043
179
Kama ukibahatika kujua mawazo wa mtanzania halisi :A S 13:!!
 

Attachments

  • Mtanzania halisi.jpg
    Mtanzania halisi.jpg
    12.3 KB · Views: 197
Hizo ndizo akili za mTanzania, anangoja aletewe atiliwe mfukoni halafu aambiwe "haya nenda katumbuwe".

Wengi wenye fikra hizo hawafanikiwi ki maisha. si Tanzania tu, popote pale duniani. Jitume, Tanzania kuna opportunities kibao ambazo zipo untapped, lakini haziwezi kuja kwa kuzisubiria, inabidi uzifanyie kazi.
 
Hizo ndizo akili za mTanzania, anangoja aletewe atiliwe mfukoni halafu aambiwe "haya nenda katumbuwe".

Wengi wenye fikra hizo hawafanikiwi ki maisha. si Tanzania tu, popote pale duniani. Jitume, Tanzania kuna opportunities kibao ambazo zipo untapped, lakini haziwezi kuja kwa kuzisubiria, inabidi uzifanyie kazi.

wape vidnge vyao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom