Hizo ndizo akili za mTanzania, anangoja aletewe atiliwe mfukoni halafu aambiwe "haya nenda katumbuwe".
Wengi wenye fikra hizo hawafanikiwi ki maisha. si Tanzania tu, popote pale duniani. Jitume, Tanzania kuna opportunities kibao ambazo zipo untapped, lakini haziwezi kuja kwa kuzisubiria, inabidi uzifanyie kazi.