15 Julai 2025
273 Voortrekker Road, Goodwood, Cape Town, Western Cape, South Africa
Mtanzania umri miaka 32, akamatwa na madawa ya kulevya thamani ya shilingi 7.8 bilioni
Msako huo siku ya jumapili tarehe 13 Julai 2025 kufuatia taarifa za kiintelejensia alisema kiongozi wa operesheni Lieutenant Colonel Malcolm Pojie kuhusu msako huo uliowatia mbaroni raia mmoja wa kitanzania na mwenzie wa,...
Lieutenant Colonel Malcolm Pojie alisema lengo lao kwa taarifa za awali ni kwamba waliokamatwa walikuwa wauzaji wadogo lakini wakiwa eneo wakifungua makabati ndipo wakapata taarifa za ziada za kiintelejensia wakatanua ukaguzi wao hadi darini na kukumbana na zaidi ya kilogram 140 za madawa ...
Thamani ya madawa yaliyokutwa darini na sehemu nyingine katika makazi ya nyumba hiyo moja ni randi 54.4 milioni sawa na shilingi zaidi ya bilioni 7.8..
Watuhumiwa wanatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Mkuu ya Goodwood Magistrates’ ya nchini Africa ya Kusini
==================
Goodwood drug bust. Picture: Saps
Two foreign nationals are facing drug trafficking charges following a major intelligence-led operation in Goodwood that resulted in the seizure of narcotics worth R54.3 million on Sunday afternoon.
Members of Operation Restore executed a search warrant at a residence on Molteno Street at approximately 13:45 on Sunday,13 July 2025, leading to the discovery of substantial quantities of heroin and crystal methamphetamine, also known as Tik, hidden throughout the property.
“During the search, the members discovered and seized 6kg of heroin, which was found in a cupboard in one of the rooms,” said Police spokesperson Lieutenant Colonel Malcolm Pojie.
Pojie said the occupant of the room, a 32-year-old Tanzanian national, was immediately arrested and charged with dealing in heroin ...
Source : Tanzanian and Burundian nationals arrested in R54.3m drug bust in South Africa | The Citizen
273 Voortrekker Road, Goodwood, Cape Town, Western Cape, South Africa
Mtanzania umri miaka 32, akamatwa na madawa ya kulevya thamani ya shilingi 7.8 bilioni
Msako huo siku ya jumapili tarehe 13 Julai 2025 kufuatia taarifa za kiintelejensia alisema kiongozi wa operesheni Lieutenant Colonel Malcolm Pojie kuhusu msako huo uliowatia mbaroni raia mmoja wa kitanzania na mwenzie wa,...
Lieutenant Colonel Malcolm Pojie alisema lengo lao kwa taarifa za awali ni kwamba waliokamatwa walikuwa wauzaji wadogo lakini wakiwa eneo wakifungua makabati ndipo wakapata taarifa za ziada za kiintelejensia wakatanua ukaguzi wao hadi darini na kukumbana na zaidi ya kilogram 140 za madawa ...
Thamani ya madawa yaliyokutwa darini na sehemu nyingine katika makazi ya nyumba hiyo moja ni randi 54.4 milioni sawa na shilingi zaidi ya bilioni 7.8..
Watuhumiwa wanatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Mkuu ya Goodwood Magistrates’ ya nchini Africa ya Kusini
==================
Some of the drugs were found hidden in the roof of the raided house.
Goodwood drug bust. Picture: Saps
Two foreign nationals are facing drug trafficking charges following a major intelligence-led operation in Goodwood that resulted in the seizure of narcotics worth R54.3 million on Sunday afternoon.
Members of Operation Restore executed a search warrant at a residence on Molteno Street at approximately 13:45 on Sunday,13 July 2025, leading to the discovery of substantial quantities of heroin and crystal methamphetamine, also known as Tik, hidden throughout the property.
Initial drug discovery leads to arrests
The operation began when officers searched the premises and made their first significant find in a bedroom cupboard.“During the search, the members discovered and seized 6kg of heroin, which was found in a cupboard in one of the rooms,” said Police spokesperson Lieutenant Colonel Malcolm Pojie.
Pojie said the occupant of the room, a 32-year-old Tanzanian national, was immediately arrested and charged with dealing in heroin ...
Source : Tanzanian and Burundian nationals arrested in R54.3m drug bust in South Africa | The Citizen