Mtanisamehe kwa hili

Better life Kwa shemeji,ni kukwepa majukumu yanayokuhusu , Wewe Mwenyewe!
I have my reasons to live there,
Sina mindset ya kimatumbi na hata nikitaka nje siwezi kuishi kimatumbi. Naona watu mmetumia hicho kigezo kuni attack badala ya kuchakata hoja iliyopo mezani. What a pitty society
 
Siyo kila mtu kipaombele chake ni kumiliki gari ...mbona watu wanapanda ndege na siyo ndege zao ..siyo kila mtu anayo afya ya kuendesha gari .. wengine uwezo wao wa kuona umefifia hivyo umuhimu wa kuwa na gari umepotea vinginevyo wawe na dereva (usumbufu na gharama zisizo na msingi ) usafiri wa daladala ukiboreshwa na kuwa standard ni bora mara 100 ya gari binafsi ...
 
Sawa mkuu. Umejibu kiutu uzima and I respect that...
 
Halafu anachukulia maisha rahisi kwa vile amewekewa masofa ya bure na TV ya bure sebuleni hajui vilitafutwa kwa njia gani.
 
Vijana tunakosea sana kuyachukulia maisha kiwepesi.

Kwanza kabisa napinga vikali hoja ya kwamba kuajiriwa ni utumwa. Kuajiriwa ni fursa. Haiwezekani kila mtu ajiajiri, sio kila mtu anayataka mateso ya kujiajiri. Waajiriwa pia ni wazalishaji, kuna taasisi inaweza kusimama bila waajiriwa? Ni vibaya kutaka maisha ya kawaida?

Elewa kwamba maisha ya mtu ni mjumuiko wa hali mbalimbali anazopitia toka utotoni. Mtu kazaliwa kaya masikini, hajasoma na hana ajira ya kudumu, unadhani atamiliki gari kirahisi? Unamlazimisha ajiwekee kipaumbele cha kumiliki gari badala ya vitu vingine vya msingi?

Tukikuzodoa kwanini huna ndege ya $60m kama Elon Musk ambaye baba yake alimiliki migodi utaona ni sawa?

"Meritocracy" ni kipande tu cha ukweli kuhusu maisha. Maisha yana mengi mno.
 
Gari ya shemeji
Nyumba ya shemeji
Kula kwa shemeji
Sabuni ya kufua na kuogea ya shemeji
Nguo unanunuliwa na shemeji
Halafu eti unawaponda wenzio hawana magari!!
Wewe na wao kuna tofauti gani?
Really
Kwani Unaumia ukiwa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…