sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,946
Wanajamvi shikamoni, nimekuta mjadara huu pahala nikauleta kama ulivyo,naomba mmusaidie kujibu mwandishi huyu, Kijana wa Redio free.
''May Mos...kwambaaaaa Mpaka sasa wafanyakazi hewa ni 10,295 malipo yao ni zaidi ya bil.11, kati yao 8,372 ni kutoka Tamisemi na 1,922 serikali kuu... Source JPM ktk siku ya wafanyakazi Dom kitaifa... Hivi serikali iliyopita walikuwa watanzania ama ni kwa msaada vya watu wa..... ? Hivi hii nchi watu wake hasa viongozi walikuwa na dini na maadili na misingi?????''
''May Mos...kwambaaaaa Mpaka sasa wafanyakazi hewa ni 10,295 malipo yao ni zaidi ya bil.11, kati yao 8,372 ni kutoka Tamisemi na 1,922 serikali kuu... Source JPM ktk siku ya wafanyakazi Dom kitaifa... Hivi serikali iliyopita walikuwa watanzania ama ni kwa msaada vya watu wa..... ? Hivi hii nchi watu wake hasa viongozi walikuwa na dini na maadili na misingi?????''