Lakini umemsahau pia Oscar Oscar, anapitiliza unazi wake wa Yanga hasa sakata hili la Kagera.
Tumekusikia na tumekuelewa!!Sijui ni lini huyu Mtangazaji ataacha hii tabia yake ya kipuuzi na ya kimakusudi ambayo sasa ameshaifanya kama vile kuwa ndiyo utaratibu wake wa kila siku anapokuwa Kazini hapo Studioni Efm.
Ni kwamba kila pale ambapo kunakuwa na taarifa ya ' kuiathiri ' Klabu ya Simba Sports Club au taarifa ' mbaya ' ya kuihusu Simba SC au ina ' uelekeo ' mbaya kwa Simba SC yeye katika kutafuta ' maoni ' ya ama Wadau wa mpira au wenye Mamlaka ya Kitaaluma ya kuhusu mchezo wa mpira wa miguu yeye huwapigia tu wale ambao ni Wana Yanga FC ' lia lia ' kabisa halafu anawahoji na hata akiwa anawahoji huanza kwanza kuwauliza ' Maswali ' shawishi ambayo automatically tu yatamfanya yule anayeongea nae aelekee kule ambapo anakutaka Yeye na hapa namaanisha Yanga FC ambako hakuna asiyejua kuwa Mtangazaji Maulid Kitenge ni Mwanachama wake wa ' Kutukuka '.
Wanataaluma wa hiyo ' Tasnia ' sasa tumechoshwa kabisa na hii tabia ya ' hovyo hovyo ' hasa ya Kiutangazaji ambayo anaifanya Maulid Kitenge kiasi kwamba sasa anaanza ' kutukera ' wasikilizaji wa Vipindi vyao vyote vya michezo vya Efm.
Tunamtaka abadilike upesi kama siyo haraka vinginevyo sasa nasi ' anaotuudhi ' tutaamua ' kufyatuka ' dhidi yake.
Mbona Watangazi wenzie wengi tu wakiwa wanatangaza huwa hawaonyeshi ' Mahaba ' yao upande fulani japo sisi Watu wa mpira ( michezo ) huwa tunawajua wapo wapi Kiushabiki? Nani anayeweza kujua Mtangazaji Said Kilumanga au Alex Luambano au Amri Masare wanashabikia Vilabu / Timu gani hapa Tanzania?
Mfikishieni taarifa hii kuwa tumemchoka na karibuni sasa sisi anaotuumiza uvumilivu dhidi yake utafikia ' Kikomo '.
Nawasilisha.
Hemed kivuyoNishaacha kumsikiliza muda tu yeye na yupo mmoja ITV jina limenitoka kidogo huwa sauti hanaivuta hivi kwa madoido, yaan hawa wanaleta uteam hadi kazini sijui hawawezi kujicontrol
Mleta uzi unaugonjwa mmoja tu,ambao ni 'Kuhalalisha hisia zako' na kutaka kuaminisha watu hisia hizo kuwa ni 'ukweli '.Sijui ni lini huyu Mtangazaji ataacha hii tabia yake ya kipuuzi na ya kimakusudi ambayo sasa ameshaifanya kama vile kuwa ndiyo utaratibu wake wa kila siku anapokuwa Kazini hapo Studioni Efm.
Ni kwamba kila pale ambapo kunakuwa na taarifa ya ' kuiathiri ' Klabu ya Simba Sports Club au taarifa ' mbaya ' ya kuihusu Simba SC au ina ' uelekeo ' mbaya kwa Simba SC yeye katika kutafuta ' maoni ' ya ama Wadau wa mpira au wenye Mamlaka ya Kitaaluma ya kuhusu mchezo wa mpira wa miguu yeye huwapigia tu wale ambao ni Wana Yanga FC ' lia lia ' kabisa halafu anawahoji na hata akiwa anawahoji huanza kwanza kuwauliza ' Maswali ' shawishi ambayo automatically tu yatamfanya yule anayeongea nae aelekee kule ambapo anakutaka Yeye na hapa namaanisha Yanga FC ambako hakuna asiyejua kuwa Mtangazaji Maulid Kitenge ni Mwanachama wake wa ' Kutukuka '.
Wanataaluma wa hiyo ' Tasnia ' sasa tumechoshwa kabisa na hii tabia ya ' hovyo hovyo ' hasa ya Kiutangazaji ambayo anaifanya Maulid Kitenge kiasi kwamba sasa anaanza ' kutukera ' wasikilizaji wa Vipindi vyao vyote vya michezo vya Efm.
Tunamtaka abadilike upesi kama siyo haraka vinginevyo sasa nasi ' anaotuudhi ' tutaamua ' kufyatuka ' dhidi yake.
Mbona Watangazi wenzie wengi tu wakiwa wanatangaza huwa hawaonyeshi ' Mahaba ' yao upande fulani japo sisi Watu wa mpira ( michezo ) huwa tunawajua wapo wapi Kiushabiki? Nani anayeweza kujua Mtangazaji Said Kilumanga au Alex Luambano au Amri Masare wanashabikia Vilabu / Timu gani hapa Tanzania?
Mfikishieni taarifa hii kuwa tumemchoka na karibuni sasa sisi anaotuumiza uvumilivu dhidi yake utafikia ' Kikomo '.
Nawasilisha.
Juzi kati ulikua na Enock na leo Maulid sijui kesho naniSijui ni lini huyu Mtangazaji ataacha hii tabia yake ya kipuuzi na ya kimakusudi ambayo sasa ameshaifanya kama vile kuwa ndiyo utaratibu wake wa kila siku anapokuwa Kazini hapo Studioni Efm.
Ni kwamba kila pale ambapo kunakuwa na taarifa ya ' kuiathiri ' Klabu ya Simba Sports Club au taarifa ' mbaya ' ya kuihusu Simba SC au ina ' uelekeo ' mbaya kwa Simba SC yeye katika kutafuta ' maoni ' ya ama Wadau wa mpira au wenye Mamlaka ya Kitaaluma ya kuhusu mchezo wa mpira wa miguu yeye huwapigia tu wale ambao ni Wana Yanga FC ' lia lia ' kabisa halafu anawahoji na hata akiwa anawahoji huanza kwanza kuwauliza ' Maswali ' shawishi ambayo automatically tu yatamfanya yule anayeongea nae aelekee kule ambapo anakutaka Yeye na hapa namaanisha Yanga FC ambako hakuna asiyejua kuwa Mtangazaji Maulid Kitenge ni Mwanachama wake wa ' Kutukuka '.
Wanataaluma wa hiyo ' Tasnia ' sasa tumechoshwa kabisa na hii tabia ya ' hovyo hovyo ' hasa ya Kiutangazaji ambayo anaifanya Maulid Kitenge kiasi kwamba sasa anaanza ' kutukera ' wasikilizaji wa Vipindi vyao vyote vya michezo vya Efm.
Tunamtaka abadilike upesi kama siyo haraka vinginevyo sasa nasi ' anaotuudhi ' tutaamua ' kufyatuka ' dhidi yake.
Mbona Watangazi wenzie wengi tu wakiwa wanatangaza huwa hawaonyeshi ' Mahaba ' yao upande fulani japo sisi Watu wa mpira ( michezo ) huwa tunawajua wapo wapi Kiushabiki? Nani anayeweza kujua Mtangazaji Said Kilumanga au Alex Luambano au Amri Masare wanashabikia Vilabu / Timu gani hapa Tanzania?
Mfikishieni taarifa hii kuwa tumemchoka na karibuni sasa sisi anaotuumiza uvumilivu dhidi yake utafikia ' Kikomo '.
Nawasilisha.
acheni kulialia semeni kadi tatu za njano zilipatikana lini sio kutaka point za mezani, jana manara katoa povu weee ila hamna kitu cha maana alichoongea!
hiyo mechi ambayo simba wanalilia kuwa fakhi alipewa kadi ni ile ya african lyon ambayo haikuoneshwa kwenye tv wala kwenye rekodi za refa hakuna kitu kama hicho sasa sijui simba wanatoa wapi nguvu ya kulilia point za mechi waliyofungwa!Kwani nyie hamna mkanda wa video wa mechi ambayo mchezaji huyo alipewa kadi hizo ?? au mnataka kupiga ramli tu...!!! Kama kuna kielelezo cha mchezo ambacho kinaonyesha mchezaji huyo hakupewa kadi tuleteeni hapa...Nyambafu.....!!!!!
Mkuu kwanini unamshambulia yeye binafsi hasa umbo lake, Kwani linahusiana nini na hiyo tabia usiyo ipenda?Huyo Dada ndiyo ' takataka ' kabisa Mkuu. Ndiyo maana kanenepeana hovyo kama ' Faru Fausta '.
hiyo mechi ambayo simba wanalilia kuwa fakhi alipewa kadi ni ile ya african lyon ambayo haikuoneshwa kwenye tv wala kwenye rekodi za refa hakuna kitu kama hicho sasa sijui simba wanatoa wapi nguvu ya kulilia point za mechi waliyofungwa!
mkuu kwenye sheria wanasema yule anayeshutuma ndio anapaswa kuthibitisha, na kwa kesi hii simba ndio mwenye jukumu la kuthibitisha hiyo kadi ilitoka mechi gani na dakika ya ngapi kwa kushindwa kufanya hivyo watakua hawana haki ya kulalama, kuhusu bodi ya ligi na tff hayo ni majipu makubwa na hivi sasa ni siasa za uchaguzi ndio zimetawala!Sasa nyie mnauhakika gani kama yule mchezaji hakupewa KADI ikiwa hiyo mechi haikuoneshwa wala hakuna report nafikiri wa kulaumiwa ni bodi ya ligi na TFF kwa kutokuwa na video ya mechi hiyo.
Wanavyolalamika kwa mtu asiyejua anaweza kudhani Simba ilishinda ikaporwa point!kumbe waliukaliaAcheni kutoa mapovu, si mngeshinda uwanjani?