blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,470
- 12,628
Huyu Mwamba huwa namsikia Jumamosi asubuhi. Aisee hana mpinzani kwenye narrations . Nilimsikia siku moja akisimulia ajali ya ndege ya wale wachezaji wA Zambia, Yani anakuchukua anakuweka ndani ya tukio. Ni muvi aisee! Najiuliza tu anawezaje juwa vitu vyote hivii!?? Je hawazi kuziweka hizi simulizi kwenye kitabu!? Alafu mbona hayupo kwenye social media!!?