JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
Hijja Madava
huyo kakataliwa ndo maana anasema hivyo, vyama kuunganisha nguvu siyo kuingilia itikadi ya ndani ya vyama, mwanachama wa ACT ndo anatakiwa kutangaza mali, UKAWA hawaendi kuwa wanachama wa CHADEMA ama CUF kila mmoja anabaki na uanachama wake.
huyo kakataliwa ndo maana anasema hivyo, vyama kuunganisha nguvu siyo kuingilia itikadi ya ndani ya vyama, mwanachama wa ACT ndo anatakiwa kutangaza mali, UKAWA hawaendi kuwa wanachama wa CHADEMA ama CUF kila mmoja anabaki na uanachama wake.
Last edited by a moderator: