xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,065
- 5,890
Yes, na ndio ninachokifanya, yaani nikiwa kwenye mishe mishe zangu nje ya mji huwa na weka halotel kwajili ya mtandao, nikirudi home nabadilisha ndio naweka ttclIn rural areas nilikotembelea kwa kweli Halotel hawana mpinzani, mpaka internet....