Mtandao wa tiGO upo slow mpaka unaboa

Mtandao wa tiGO upo slow mpaka unaboa

Mkuu mitandao ipo mingi, tigo wakizingua piga chini fasta, kwanza unapata hasara mara mbili ukitumia tigo, unapoteza muda, unapoteza hela.
 
Hawa tigo sijajua km wao wenyewe hawaoni hiyo Internet yao!? Yani ni hovyo hovyo tu, pamoja na kuwa saivi wanapromote 4G, but 3G na 2G ni majanga tu. Sasa tukihamia wote 4G si ndo mtashindwa kutuhudumia kabisa, embu rekebisheni mnaboa sana nyie tigo na Internet yenu.
Mkuu 4G yao ni majanga,nakushauri usihamie.
 
Mkuu mitandao ipo mingi, tigo wakizingua piga chini fasta, kwanza unapata hasara mara mbili ukitumia tigo, unapoteza muda, unapoteza hela.
Leo nimeamua ku-refresh niperuzi kwa MB nyingi weeee mpaka nichoke,nikaamua nijiunge na kifurushi cha chuo cha tiGO chenye MB nyingi,sasa nakereka tu,hamna chochote nilichafanya.
 
Kibishi ukiona umekula ban ujue nimekuripoti. Hata ukiudhiwa, jifunze pia kuchunga ulimi wako.
Paw hebu mfunze adabu kijana huyu
Hapana Mkuu Bujibuji,nina nidhamu ya hali ya juu tena sana,tiGO wanakera kwa kweli.
 
Pamoja na mtoa hoja ametumia neno kali ila ukweli tigo inaudhi sana na kutia hasira juu ya huduma zao mbaya mbaya mbaya sanaa, na mimi niseme wazi mamlaka husika ambao ni TCRA wameshindwa kuisimamia tiGO.Mi ni muhanga wa huduma mbovu za kampuni hii, na malalamiko yangu nimetuma kwa TCR sasa inaendea nusu mwaka hawajanijibu wala kusema tumeyapata.Lakini pia matatizo ya huduma mbovu za hawa jamaa hata wizara inajua,mi nshamlalamikia sana waziri husika juu ya huduma mbovu za hawa jamaa, ila hakuna any response.
Shida inakuja moja waliopewa mamlaka ya kusimamia kampuni hizi za simu kwa mwenendo wao NI KAMA wamewekwa KIGANJANI na hizo kampuni za mawasiliano.

Mfano huduma za intanet kwa sasa haziishii kuwa nyenzo ya kuperuz mitandaoni, now ni moja ya nyenzo ya kufanya kazi za kuingiza kipato, kuangalizia mipira au hata movies,uaponunua na kukosa huduma inakera.

Ukweli TCRA mnatukera sana watanzania kwa huduma mbovu za kampuni za simu na hasa tiGO,kutoiwajibisha tigo maana yake mnawalea na mna maslahi yao (NADIRIKI KUSEMA HIVYO KWAKUA HAMUONESHI NIA YA KUISIMAMIA HII KAMPUNI KUBORESHA HUDUMA).
 
Naunga mkono hoja tigo wakiendelea hivi watapoteza wateja wengi sana mm juz juz tu nimesajiri laini ingine ya halotel yani ni mpera mpera tg nimebakiza kwasababu tu watu wangu wengi wanaijua tgo lkn kimtandao nlishasahau kuitumia.
 
mm nipo Dodoma hawa Tigo wapo safi sana na ni faster kwa internet, Whatsapp, Imo, Mabdro nk
Halotel kuna kipindi ukiitumia hata kwenye simu km sio Line yake ina-block sembuse internet
Bado Dodoma hutudanganyi kwa Tigo hata 3G ni faster
 
nipo na halotel safi sana...nililalama kama wewe miezi kadhaa ivi nikaamia halotel..safi kabisa..net speed safi sana...karibu
 
Labda huko kwenu.
Mimi naenjoy sana internet ya Tigo 4G.
c5a92b7902f716474160547e06d129ba.jpg
Unatumia simu gan mkuu
 
Kama tunavyosemaga kila siku spidi ya mtandao inategemea na eneo uliopo. Kusema ukweli tokea tigo 4g kuja mimi sijawahi rudi Halotel kabisa labda mara chache sana kutumia bando la usiku la 10Gb (ambalo huku kwetu hata 5gb aiishi).

Lakini ndio basi kutumia mtandao wao siku nzima imekuwa kichefu chefu sana kwa sababu spidi yao slow sana kwangu 300-700KB/s yao naona inanizingua tu wakati Tigo nafika 2-3MB/s sio mchana sio usiku.

So kama kwenu spidi ya tigo mbaya, simu ya 4g hauna nenda Halotel lakini kusema kwamba itafika siku watu wengi wataama vodacom au Tigo SAHAU.Majority ya wa Tanzania wanawapa Vodacom au Tigo kiburi cha kuwa na subscription rate kubwa hawaangalii Internet kama definitive factor wa naangalia bidhaa nyingine especially tigo pesa au mpesa ambayo mpaka leo halotel aijaleta mpinzani.
 
TIGO 4G
 

Attachments

  • Screenshot_2016-07-02-17-50-05.png
    Screenshot_2016-07-02-17-50-05.png
    90.9 KB · Views: 36
HALOTEL 3G
 

Attachments

  • Screenshot_2016-07-07-18-26-20.png
    Screenshot_2016-07-07-18-26-20.png
    144.3 KB · Views: 34
Back
Top Bottom