Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,804
- 830,982
Ni mtandao kama facebook hivi basi jana nikaingia huko, watu wanne tu niliochat nao wamenifanya niuchukie huo mtandao
Wa kwanza alikuwa binti toka Arusha , ile kuchat nae Kidogo tu akapiga kizinga cha elfu 50, nilipomtolea nje nikaambulia matusi
Wa pili alikuwa mdada pia wa hapahapa Dar , yeye akani-invite kwenye massage, lakini massage yenyewe ni kunyonywa sirini na uchafu mwingine, gharama ni ileile elfu 50,
Watatu ni mkaka yeye kaanza kusema kavutiwa na picha yangu nikashtuka, akasema anapenda sana 'to have funny with sexy Men' mmh nikamblock fasta
Wanne baada ya chat ya muda mfupi akasema ana michongo ya ulaya inayolipa sana
Jamani huu mtandao sio unatumika vibaya naamini haukuwa na malengo hayo
Kama huamini jaribu kuingia badoo.com
Wa kwanza alikuwa binti toka Arusha , ile kuchat nae Kidogo tu akapiga kizinga cha elfu 50, nilipomtolea nje nikaambulia matusi
Wa pili alikuwa mdada pia wa hapahapa Dar , yeye akani-invite kwenye massage, lakini massage yenyewe ni kunyonywa sirini na uchafu mwingine, gharama ni ileile elfu 50,
Watatu ni mkaka yeye kaanza kusema kavutiwa na picha yangu nikashtuka, akasema anapenda sana 'to have funny with sexy Men' mmh nikamblock fasta
Wanne baada ya chat ya muda mfupi akasema ana michongo ya ulaya inayolipa sana
Jamani huu mtandao sio unatumika vibaya naamini haukuwa na malengo hayo
Kama huamini jaribu kuingia badoo.com