Mtandao hatari wa kutapeli watu fedha

Mtandao hatari wa kutapeli watu fedha

Duuh!!kuna watu wanapiga pesa simple sana aisee,

Hunichukulii pesa yangu kizembe hivyo
 
Jamani tukumbuke zama zimebadilika hizi,Pesa za bure bure kwa staili hii hakuna
 
Kwanza hata ananifikiaje kuanza kuniambia upuuzi huo, msiwe mnapenda kuongea ongea na watu msiowajua jamani.... weka headphones kula mziki.
 
Mikoa ya Kusini wachawi Sana.

Mbeya,Iringa,Sumbawanga, yani sitaki kuskia dada yangu kaolewa huko, hawafai kabsa
Sio wote mkuu, anaweza olewa na asie mchawi au huko kwenu akaolewa na mchawi.
 
Ushahidi unao KAMANDA hawakatizi tena popote ukizingatia police wetu interejensia yao Kali sana ukiona wanasuasu kuwakanata waambie hao wezi ni Chadema kazi kwisha
 
Huu Utaahira huu!! yaani ulimpe mtu pesa akutengenezee pesa? Kweli?
 
Hivi tunaposema kulia na kusaga meno, MENO huwa yanasagwa vipi..?
 
Hivi duniani kumbe kuna watu wanaakili za manati.Unaibiwaje kizembe hivyo bila kutumia nguvu.
 
Hivi bado kuna watu wanaibiwa kwa style hii!??
 
Duh! Hii habari nilikuwa naijua kwenye madolali tu kumbe hata kwenye shilingi imeshaanza kufanyiwa kazi?

Asante kwa kututahadharisha maana wapenda pesa za mteremko tuko wengi, tungelizwa bure.
 
Huyo jamaa kwenye picha ya pili kutoka mwisho ni wazi kabisa maeneo ya Miyomboni-Iringa Mjini watakuwa wanamfahamu,hiyo picha alipiga karibu na Kalenga Motel,mfuatilieni
Si umeona ktu maji ya afrka hyo?? na mjengo huo iringa town hapo!!
 
Aliyetapeliwa hizo pesa atakua amehongwa, haiwezekani unajua kutafuta pesa kisha udanganywe zinazalishwa. Huyo atakua abunuasi na misufi inayozaa pesa.
 
Back
Top Bottom