miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
basi kuwa mpole.. ila me yako nakunywaMmmmh kigezo cha kupata supu yako kimenifelisha.
basi kuwa mpole.. ila me yako nakunywaMmmmh kigezo cha kupata supu yako kimenifelisha.
kumbe mnajijua....vimeo in...Anaweza akawa na hizo sifa zote kabla hujamuoa, ukishamuoa mambo ypte yanabadilika.
Hahahahahaha sawa karibu sanabasi kuwa mpole.. ila me yako nakunywa
asante sanaHahahahahaha sawa karibu sana
Hiyo avatar ni wewe???Samahani lakini kwa uchokoziSawa ahsante
HapanaHiyo avatar ni wewe???Samahani lakini kwa uchokozi
Asante nitashukuruHahahahahaha haya bwana ngoja nitafute
Hahaha mkuu utamharibu mtotoUsisahau kubeba na zana ile ya nailoni pamoja na Ky
Mafunzo yanaweza kugeukia kwenye vitendo zaidi
Sawa lakni si unamjua huyo??Hapana
Wanawake ni wengi sana katika dunia tunayoishi, semi nyingi zimetawala juu ya mwanamke mzuri. Upo usemi unaosema wanawake wazuri bado hawajazaliwa, wengine husema uzuri wa mwanamke ni tabia na wengine husema uzuri wa mwanamke ni sura basi mambo ni vurugu tupu.
Uzuri wa mwanamke ni mchanganyiko wa vitu vingi, mwanamke mzuri namfananisha na kanga nzuri nyeupe lakini ikiwa na doa kidogo inapoteza uzuri wake. Hivyo ili iendelee kuwa safi lazima ihakikishe haina doa hata kidogo vivyo hivyo na upande wa mwanamke ili awe mrembo na mzuri lazima asiwe na doa hata tone.
Mwanamke mzuri na mrembo huwa na mkusanyiko wa sifa zifuatazo:
Awe na heshima
Asiwe malaya
Awe msafi wa nguo na mwili
Awe na sura ya kung'aa
Awe mpole kiasi
Awe mjasiri
Asiwe mlevi
Asiwe na Tamaa kupita kiasi
Nimepata tayari nasubiri maelekezo ya mwalimuAsante nitashukuru
Hahahah... umemtisha kijana wa watu..Usisahau kubeba na zana ile ya nailoni pamoja na Ky
Mafunzo yanaweza kugeukia kwenye vitendo zaidi
Anaweza kuwa nazo zote lakini huyo mme ampataye akaja mwaribu na tabia zake za umangimezaWanawake ni wengi sana katika dunia tunayoishi, semi nyingi zimetawala juu ya mwanamke mzuri. Upo usemi unaosema wanawake wazuri bado hawajazaliwa, wengine husema uzuri wa mwanamke ni tabia na wengine husema uzuri wa mwanamke ni sura basi mambo ni vurugu tupu.
Uzuri wa mwanamke ni mchanganyiko wa vitu vingi, mwanamke mzuri namfananisha na kanga nzuri nyeupe lakini ikiwa na doa kidogo inapoteza uzuri wake. Hivyo ili iendelee kuwa safi lazima ihakikishe haina doa hata kidogo vivyo hivyo na upande wa mwanamke ili awe mrembo na mzuri lazima asiwe na doa hata tone.
Mwanamke mzuri na mrembo huwa na mkusanyiko wa sifa zifuatazo:
Awe na heshima
Asiwe malaya
Awe msafi wa nguo na mwili
Awe na sura ya kung'aa
Awe mpole kiasi
Awe mjasiri
Asiwe mlevi
Asiwe na Tamaa kupita kiasi
Muoga tu huyo.Hahahah... umemtisha kijana wa watu..
Haya...nakuja pm mtoto wanguNimepata tayari nasubiri maelekezo ya mwalimu
Amechagua vitendo zaidi kuliko nadharia....nami namkaribisha kwa moyo mweupeHahaha mkuu utamharibu mtoto