K keniTz Member Joined Sep 11, 2024 Posts 15 Reaction score 34 May 16, 2025 #1 Habari wakuu, Mtama mweupe unahitajika, angalau tani 30 kwa wiki. Pia kama utapatikana zaidi ya kiasi hicho kwa wiki itakua vizuri zaidi. Mkoa wowote tunaweza kufika, chamsingi iwe ni ndani ya Tanzania. Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0626532223
Habari wakuu, Mtama mweupe unahitajika, angalau tani 30 kwa wiki. Pia kama utapatikana zaidi ya kiasi hicho kwa wiki itakua vizuri zaidi. Mkoa wowote tunaweza kufika, chamsingi iwe ni ndani ya Tanzania. Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0626532223
H Hassanjk JF-Expert Member Joined Feb 24, 2023 Posts 550 Reaction score 1,019 May 17, 2025 #2 Kiongozi, Mnanunua kwa wastani wa shs ngapi kwa gunia la kilo 100 (mfano Morogoro)
K keniTz Member Joined Sep 11, 2024 Posts 15 Reaction score 34 May 17, 2025 Thread starter #3 Hassanjk said: Kiongozi, Mnanunua kwa wastani wa shs ngapi kwa gunia la kilo 100 (mfano Morogoro) Click to expand... Naomba nipigie kwenye namba hizo hapo juu
Hassanjk said: Kiongozi, Mnanunua kwa wastani wa shs ngapi kwa gunia la kilo 100 (mfano Morogoro) Click to expand... Naomba nipigie kwenye namba hizo hapo juu
Mr Devil JF-Expert Member Joined Jul 7, 2019 Posts 14,905 Reaction score 34,435 Oct 10, 2025 #4 Kuna tani 2 dodoma unachukua ?