Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,059
- 22,755
Msanii ni ajabu sana kwa wewe kujiaminisha kuwa unamfahamu fika Marando huku kila unachokiandika kikizidi kukuumbua kuwa hujui chochote kumhusu Mabere Nyaucho Marando. Sijui una bifu gani na huyo mwanamageuzi lakini naomba nikupe ushauri; ni heri ukae kimya kwani hao unaowashauri ukitaka wawe makini na Marando wanamfahamu kuliko unavyofikiria.Hivi ni vitisho na ndo maana tunawaona kuwa kuna mapungufu na hamkustahili kupewa hiyo kazi. Maadili mmeyaweka pembeni na kuamua kutumikia wanasiasa wanaowapa kula yenu ya siku.
Masuala yanayohusu uhai wa Taifa mnayapuuzia na kuyaweka pembeni.
Endeleeni kutisha-tisha watu msidhani wote ni waoga
Lengo lako hasa silielewi kwa nini hili swala umelivalia njuga lakini ama unatumiwa bila kujitambua au una bifu binafsi naye; kwa hili hutakuwa peke yako, mko wengi ambao jina la Marando linawanyima usingizi. Hata hivyo kama itatokea kwamba umetumwa kuuchanganya uongozi wa Chadema, aliyekutuma hakufanya homework yake vizuri; umeingizwa choo cha kike.
Last edited by a moderator: