Mtaji wa biashara ya Ufundi simu

Mtaji wa biashara ya Ufundi simu

Geohtech

Member
Joined
Apr 14, 2025
Posts
7
Reaction score
7
Naomba ushauri.....kwa sasa mimi ni mwajiriwa ila niliwahi soma veta fani ICT . ila nataka kufungua ofis yangu ya ufundi computer, ufundi simu na kuuza accessories mbali mbali za mambo hayoo..naomba kujua mtaji unaweza kuwa bei gani na vifaaa vipi nahitaaji hasa upande wa ufundi simu.
 
Naomba ushauri.....kwa sasa mimi ni mwajiriwa ila niliwahi soma veta fani ICT . ila nataka kufungua ofis yangu ya ufundi computer, ufundi simu na kuuza accessories mbali mbali za mambo hayoo..naomba kujua mtaji unaweza kuwa bei gani na vifaaa vipi nahitaaji hasa upande wa ufundi simu.
umeandika iv ukiwa mkoa gani ili upigiwe na gharama ya usafiri ila kama uko dar tuendelee
 
Vifaa vya muhimu ni hot gun bei inacheza 150k,blower bei 150k,screw driver elfu10,mafuta na soldering iron bei15 vyote
 
Ila browser na hot gun zipo simple zote mbili unapata kwa elfu90
 
Vioo vya smartphone za hali ya mtu namaanisha infinix,tecno, Samsung za kawaida,oppo,vivo bei ya jumla ni kuanzia elfu13 mpaka elfu18, kwaiyo ukiwa hata na million1 ya vioo tu itakusaidia sana,kazi nyingi utakuwa na vioo,charge port au system charge bei ya jumla ni sh75 rejereja shilling 100,maiki jumla85 rejereja sh100
 
Vioo vya smartphone za hali ya mtu namaanisha infinix,tecno, Samsung za kawaida,oppo,vivo bei ya jumla ni kuanzia elfu13 mpaka elfu18, kwaiyo ukiwa hata na million1 ya vioo tu itakusaidia sana,kazi nyingi utakuwa na vioo,charge port au system charge bei ya jumla ni sh75 rejereja shilling 100,maiki jumla85 rejereja sh100
Mkuu ofisi yako iko pande zipi?
 
Vioo vya smartphone za hali ya mtu namaanisha infinix,tecno, Samsung za kawaida,oppo,vivo bei ya jumla ni kuanzia elfu13 mpaka elfu18, kwaiyo ukiwa hata na million1 ya vioo tu itakusaidia sana,kazi nyingi utakuwa na vioo,charge port au system charge bei ya jumla ni sh75 rejereja shilling 100,maiki jumla85 rejereja sh100
Ahsante kwa kutufafanulia
 
Back
Top Bottom