malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.
Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.
Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.
Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.
Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.