Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Cjui naanzia wapi tena kurudi kwenye reli baada ya mtaji kukata!
Ushauri tafadhali maana naona hapa nimeishiwa mawazo...
Ushauri tafadhali maana naona hapa nimeishiwa mawazo...
Cjui naanzia wapi tena kurudi kwenye reli baada ya mtaji kukata!
Ushauri tafadhali maana naona hapa nimeishiwa mawazo...
Pole sana mkuu.. Mimi nakushauri ujikaze tu ndo maisha hayo
Yaani katika post zote mlizomtumia huyu bwana aliyetaka msaada wa mawazo hakuna hata moja yenye kumsaidia kweli WaBongo tutafika inakuwa kama hatuko serious au JF kijiwe cha masihara...? Mi nilidhani ni sehemu watu wanapoweza kubadirishana mawazo in a serious way. Mkuu vumilia utapata mawazo ya kukusaidia.
Mkuu em jaribu kuangalia jinsi mleta uzi alivyoandika uzi wake, hivi kwa maelezo yale wewe unaweza kutoa ushauri gani... Ushauri hapo ni kumpa pole na kumwambia avumilie, angetoa maelezo sahihi ungeona watu wanamshauri accordingly... Em jaribu kkumshauri wewe tuone utasemaje kwa maelezo yake
Geofrey we unaona approach yako ni ina maana ya kuumuliza maelezo Zaidi ili uweze kumsaidia sio kumletea mzaha bila kujua kama ni mzaha au kweli anahitaji mawazo