Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa
Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
Original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa? hiyo investment naomaba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.
Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.
Davidson!!
Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
Original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa? hiyo investment naomaba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.
Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.
Davidson!!