Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,110
- 158,964
😂😂😂
Sisi tunakupenda ndo maana tunashare.
😂😂😂
Uache uchoyo, kizuri unakula na ndugu zako
HahaaMimi huwa simpendi huyu anayeitwa @gentamycin jamaa anapenda kujitia anajua kila kituuu,na mimi na watu wa haiba hii huwa hatuivani,pia lijamaa lina akaunt mbili huwa linatabia ya kutumia akaunti mbali na yenye jina la gentamycn kuisifia akaunti ya gentamycn.mfano kuna siku akatumia ile akaunt nyingine akaanza kuandika eti anamhisi gentamycn ni geneous kutokana na post zake akaenda mbali eti anamhisi ni usalama wa taifa.yaan linatest akili za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiba ni Taswira au tabia ... Inaingia kwenye hizo sehemu mbili, hivi haiba maana yake nini? Mi nilikuwa najua haiba maana yake aibu. Sa nikiliweka hapa halileti maana...
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaNinyime Unyumba
HahaaKuna Tapeli mmoja kajole namchukia kinyama Kesha sepa na pesa za watu na sa ivi kaja na ID nyingine
Hahaa haaa jf maninaKwakwel siwez maana kama ulivyosema nywele sina nishanyoa zote.
Ngoja nikue labda nitamtambua huy unayemsema kwenye nafas uliyompa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa mini maana ya avatar yako mkuu?!Kuna watu wanakera Sana humu ndani.kwa michango Yao tu unaweza ukatamani asingekuwepogi.niwe mkweli tu kuna jamaa anaitwa kanungila Karim huyu jamaa sijui Kwanini damu yake na yangu hazijaendana.ashaniharibia mood yangu mara kibao.siku nikikutana naye live live kitaani nitamchezeshea vitofa mixer vitasa Kama vyote.kwa upande wa ma she Kuna huyu anaitwa miss natafuta simfagilii Wala Nini namchukia na sijui kwanini na m term Kama adui.mwingine ni huyu anajiita viatu vya samaki,wa mwisho kabisa Ni GENTAMICYNE na mwenyewe naonaga miyeyusho tu
Ni mtazamo tu washikaji msijenge chuki.na wewe mtaje mmoja tu au wawili ambao una beef nao.
Nilisahau aisee nakuchukiaaaaHahaa