Mtaje mtu unayemchukia humu ndani JF

Mimi huwa simpendi huyu anayeitwa @gentamycin jamaa anapenda kujitia anajua kila kituuu,na mimi na watu wa haiba hii huwa hatuivani,pia lijamaa lina akaunt mbili huwa linatabia ya kutumia akaunti mbali na yenye jina la gentamycn kuisifia akaunti ya gentamycn.mfano kuna siku akatumia ile akaunt nyingine akaanza kuandika eti anamhisi gentamycn ni geneous kutokana na post zake akaenda mbali eti anamhisi ni usalama wa taifa.yaan linatest akili za watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamchukiaje mtu ambaye hujamuona physically bwana ndo maana siku hizi vijana mnazeeka mapema kwa sababu ya roho zenu mbaya za kukunja.

Humu tunatumia fake IDs je kama mimi unaenichukia ni mjomba'ako au baba yako mdogo,umeshawahi kujiuliza labda kuna wakati huwa unapishana hapa JamiiForums na watu ambao in really life unawaheshimu sana lakini humu wanamwaga pumba?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Hahahahha mbn unajishtukia

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo Capetown, nipo hapa mudaa huu
1549789524727.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamchukiaje mtu ambaye hujamuona physically bwana ndo maana siku hizi vijana mnazeeka mapema kwa sababu ya roho zenu mbaya za kukunja.

Humu tunatumia fake IDs je kama mimi unaenichukia ni mjomba'ako au baba yako mdogo,umeshawahi kujiuliza labda kuna wakati huwa unapishana hapa JamiiForums na watu ambao in really life unawaheshimu sana lakini humu wanamwaga pumba?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Point ni kwamba unamchukia kutokana na comments zake.

Nikiwa mtaani nikakaa kijiweni mtu akasema Lissu bora angekufa tu, au kashifa yoyote ile ambayo ni inhuman. Akiwa na mawazo, anaongea kama watu hao ni automatically hatutakaa kujadili kitu.
 
Kuna watu wanakera Sana humu ndani.kwa michango Yao tu unaweza ukatamani asingekuwepogi.niwe mkweli tu kuna jamaa anaitwa kanungila Karim huyu jamaa sijui Kwanini damu yake na yangu hazijaendana.ashaniharibia mood yangu mara kibao.siku nikikutana naye live live kitaani nitamchezeshea vitofa mixer vitasa Kama vyote.kwa upande wa ma she Kuna huyu anaitwa miss natafuta simfagilii Wala Nini namchukia na sijui kwanini na m term Kama adui.mwingine ni huyu anajiita viatu vya samaki,wa mwisho kabisa Ni GENTAMICYNE na mwenyewe naonaga miyeyusho tu
Ni mtazamo tu washikaji msijenge chuki.na wewe mtaje mmoja tu au wawili ambao una beef nao.
Kwani wewe ndio unawapa kula hao vilaza wezako?
 
Back
Top Bottom