ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,967
- 28,828
Willy Mwaijibe
Mdenyi kasharudi au badoHuyu aliyepigana hapo kwa Uhuru Kenyatta juzi wengine wakasema kapigwa wengine kapiga,
Yeye mwenyewe anasema akishindwa kama kashinda.
Jina limenitoka
Alikuwa balaa, alikuwa anatisha, alikuqa jembe sana, alikuwa mwamba.Huu ni uzi maalum wa kutaja wachezaji wa zamani ambao hukuwahi kuwaona wakicheza. Ukishawataja subiria wakongwe waliomuona akicheza waje wakuoe sifa zake.
Mimi sijawahi kumuona George Magere Masatu akicheza, naombeni mnitajie uwezo wake maana yupi hyped sana
Alikuwa balaa, alikuwa anatisha, alikuqa jembe sana, alikuwa mwamba.Gerry Mtagwa
Alikuwa balaa, alikuwa anatisha, alikuqa jembe sana, alikuwa mwamba.SANIFU LAZARO TINGISHA
Zamani ni Zipi ?Watu wa zamani wanajisifiaga tu ila kiukweli hawakujua mpira
Roberto Carlos binge la beki ya kushoto la kupanda na kushuka kama Marcelo.Jamaa alikuwa anapiga mashuti na freekicks hatari.Galacticos na Selecao.Natamani kuwajua hawa jamaa (Gerd Muller),(Alan Shearer),na Robert Carlos
Malizia GagarihnoMbona kama hii ni trap,mkuu unataka kujua umri wa watu humu.
Anyway Hamisi Thobias Gaga'
Allan Shearer mchovu tu zaidi ya kufunga alikuwa hana cha zaidi ila ndio hivyo kipenzi cha Magpies (Newcastle) Gullit alijifanya kumuweka mkeka kilichotokea ni kupoteza kibarua chake......Natamani kuwajua hawa jamaa (Gerd Muller),(Alan Shearer),na Robert Carlos
Roberto Carlos alikuwa full back wa kushoto mwenye uwezo mkubwa sana wa kupanda na kushuka! Alijaaliwa uwezo wa kupiga mawe. Ni miongoni mwa mafullback bora wa kushoto wa muda woteNatamani kuwajua hawa jamaa (Gerd Muller),(Alan Shearer),na Robert Carlos
Alan Shearer alivunja rekodi mara mbili ya usajili enzi hizo. Kwanza kabisa alipotoka Southampton kwenda Blackburn ambapo alitwaa ubingwa huku magoli yake yakichangia ubingwa.Natamani kuwajua hawa jamaa (Gerd Muller),(Alan Shearer),na Robert Carlos