dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 166
Mtafaruku mkubwa unafukutu ndani ya CCM Mkuranga baada ya madiwani 18 wa halmashauri ya Mkuranga kumpinga mbunge wao pamoja na mkurungenzi wa halmashauri ndugu Sipora Liana na m/kiti wa halmashauri ndugu Magaila kutokana na ubadhirifu wanaofanya.
Taarifa zinadai kuwa viongozi hao watatu wanashirikiana kwa pamoja kufuja mali za umma kwa maslahi yao binafsi.
Duru za siasa wilayani Mkuranga zinadai kuwa wananchi wengi hawana imani na viongozi hawa na taarifa kuna wazee wapatao 500 wamejiandikisha na wanafanya utaratibu na moja chama cha cha upinzani ili waweze kuhamia huko.
Wananchi wengi hawaridhishwi na uongozi wa mbunge wao adamu malima kuwa hajafanya cha maana tangu achaguliwe zaidi kumwaga nguzo za umeme chini bila kufanyiwa kazi kwa muda mrefu sasa pia mbunge huyo inadaiwa ana dharau na visasi kwa wananchi kwa wale ambao hawakumpa kura.
Adam Malima inasemekana haelewani na swahiba wake mkubwa diwani wa kata ya mkamba ndugu HASANI DUNDA, Malima inadaiwa hataki kabisa kumuona diwani.
Taarifa zinadai kuwa viongozi hao watatu wanashirikiana kwa pamoja kufuja mali za umma kwa maslahi yao binafsi.
Duru za siasa wilayani Mkuranga zinadai kuwa wananchi wengi hawana imani na viongozi hawa na taarifa kuna wazee wapatao 500 wamejiandikisha na wanafanya utaratibu na moja chama cha cha upinzani ili waweze kuhamia huko.
Wananchi wengi hawaridhishwi na uongozi wa mbunge wao adamu malima kuwa hajafanya cha maana tangu achaguliwe zaidi kumwaga nguzo za umeme chini bila kufanyiwa kazi kwa muda mrefu sasa pia mbunge huyo inadaiwa ana dharau na visasi kwa wananchi kwa wale ambao hawakumpa kura.
Adam Malima inasemekana haelewani na swahiba wake mkubwa diwani wa kata ya mkamba ndugu HASANI DUNDA, Malima inadaiwa hataki kabisa kumuona diwani.