Mtafaruku mkubwa CCM Mkuranga

Mtafaruku mkubwa CCM Mkuranga

dedam

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
845
Reaction score
166
Mtafaruku mkubwa unafukutu ndani ya CCM Mkuranga baada ya madiwani 18 wa halmashauri ya Mkuranga kumpinga mbunge wao pamoja na mkurungenzi wa halmashauri ndugu Sipora Liana na m/kiti wa halmashauri ndugu Magaila kutokana na ubadhirifu wanaofanya.

Taarifa zinadai kuwa viongozi hao watatu wanashirikiana kwa pamoja kufuja mali za umma kwa maslahi yao binafsi.

Duru za siasa wilayani Mkuranga zinadai kuwa wananchi wengi hawana imani na viongozi hawa na taarifa kuna wazee wapatao 500 wamejiandikisha na wanafanya utaratibu na moja chama cha cha upinzani ili waweze kuhamia huko.

Wananchi wengi hawaridhishwi na uongozi wa mbunge wao adamu malima kuwa hajafanya cha maana tangu achaguliwe zaidi kumwaga nguzo za umeme chini bila kufanyiwa kazi kwa muda mrefu sasa pia mbunge huyo inadaiwa ana dharau na visasi kwa wananchi kwa wale ambao hawakumpa kura.

Adam Malima inasemekana haelewani na swahiba wake mkubwa diwani wa kata ya mkamba ndugu HASANI DUNDA, Malima inadaiwa hataki kabisa kumuona diwani.
 
Huu mvutano wa madiwani na mkurugenzi Mkuranga ulianza pindi ambapo mkurugenzi wa sasa alipopelekwa. Kwa wale wenye kufuatilia mambo ya serikali za mitaa watamtambua huyu mama kuwa ni mtendaji wenye rekodi ya kutokudumu katika halmashauri ukianzia na Moshi Vijijini na baadae Monduli kutokana na kutokuogopa wanasiasa mafisadi. Ana rekodi nzuri ya kuboresha mapato ya halmashauri ila pia ni ngangari kweli kweli. Halmashauri ya Mkuranga imebadilika sana katika miaka 3 iliyopita kutokana na dira ya huyu mama na usimamizi wake, ujenzi wa jengo la ofisi umeshakamilika huku yale ya kituo cha kitega uchumi, machinjio, soko na stendi yakiwa katika mchakato mzuri.

Mkuranga ni wilaya kichaa iliyojaa wanasiasa wenye kuweka mbele maslahi binafsi na utete wa hali hii unajulikana hata TAMISEMI.
 
Huu mvutano wa madiwani na mkurugenzi Mkuranga ulianza pindi ambapo mkurugenzi wa sasa alipopelekwa. Kwa wale wenye kufuatilia mambo ya serikali za mitaa watamtambua huyu mama kuwa ni mtendaji wenye rekodi ya kutokudumu katika halmashauri ukianzia na Moshi Vijijini na baadae Monduli kutokana na kutokuogopa wanasiasa mafisadi. Ana rekodi nzuri ya kuboresha mapato ya halmashauri ila pia ni ngangari kweli kweli. Halmashauri ya Mkuranga imebadilika sana katika miaka 3 iliyopita kutokana na dira ya huyu mama na usimamizi wake, ujenzi wa jengo la ofisi umeshakamilika huku yale ya kituo cha kitega uchumi, machinjio, soko na stendi yakiwa katika mchakato mzuri.

Mkuranga ni wilaya kichaa iliyojaa wanasiasa wenye kuweka mbele maslahi binafsi na utete wa hali hii unajulikana hata TAMISEMI.

Nakubaliana nawe na namkubali Mkurugenzi SIPORA LIANA kuwa ni Mwadilifu na anazingatia
 
Dhambi ya uzinzi inamtafuna mzee wa kunyonya chuchu a.k.a mzee wa mapete na mabunduki.
 
Huu mvutano wa madiwani na mkurugenzi Mkuranga ulianza pindi ambapo mkurugenzi wa sasa alipopelekwa. Kwa wale wenye kufuatilia mambo ya serikali za mitaa watamtambua huyu mama kuwa ni mtendaji wenye rekodi ya kutokudumu katika halmashauri ukianzia na Moshi Vijijini na baadae Monduli kutokana na kutokuogopa wanasiasa mafisadi. Ana rekodi nzuri ya kuboresha mapato ya halmashauri ila pia ni ngangari kweli kweli. Halmashauri ya Mkuranga imebadilika sana katika miaka 3 iliyopita kutokana na dira ya huyu mama na usimamizi wake, ujenzi wa jengo la ofisi umeshakamilika huku yale ya kituo cha kitega uchumi, machinjio, soko na stendi yakiwa katika mchakato mzuri.

Mkuranga ni wilaya kichaa iliyojaa wanasiasa wenye kuweka mbele maslahi binafsi na utete wa hali hii unajulikana hata TAMISEMI.

Kuongoza uswahilini kaaazi.....
 
Sina shaka na utendaji kazi wa yule DED ila ana tatizo la kukosa washauri wazuri, anasikiliza sana majungu, ana visasi dhidi ya watendaji wake na imefika hatua sasa madiwani wanajiorodhesha ili kumkataa. Sina data za kutosha kuhusu hali ya CCM ila walau najua kuwa Malima na DED hawakubaliki kabisa na madiwani wakiongozwa na Bw KUBENEA
 
Mtafaruku mkubwa unafukutu ndani ya CCM Mkuranga baada ya madiwani 18 wa halmashauri ya Mkuranga kumpinga mbunge wao pamoja na mkurungenzi wa halmashauri ndugu Sipora Liana na m/kiti wa halmashauri ndugu Magaila kutokana na ubadhirifu wanaofanya.

Taarifa zinadai kuwa viongozi hao watatu wanashirikiana kwa pamoja kufuja mali za umma kwa maslahi yao binafsi.

Duru za siasa wilayani Mkuranga zinadai kuwa wananchi wengi hawana imani na viongozi hawa na taarifa kuna wazee wapatao 500 wamejiandikisha na wanafanya utaratibu na moja chama cha cha upinzani ili waweze kuhamia huko.

Wananchi wengi hawaridhishwi na uongozi wa mbunge wao adamu malima kuwa hajafanya cha maana tangu achaguliwe zaidi kumwaga nguzo za umeme chini bila kufanyiwa kazi kwa muda mrefu sasa pia mbunge huyo inadaiwa ana dharau na visasi kwa wananchi kwa wale ambao hawakumpa kura.

Adam Malima inasemekana haelewani na swahiba wake mkubwa diwani wa kata ya mkamba ndugu HASANI DUNDA, Malima inadaiwa hataki kabisa kumuona diwani.

Wampeleke mzee Ali Hassan mwinyi akasawazishe
 
sina shaka na utendaji kazi wa yule ded ila ana tatizo la kukosa washauri wazuri, anasikiliza sana majungu, ana visasi dhidi ya watendaji wake na imefika hatua sasa madiwani wanajiorodhesha ili kumkataa. Sina data za kutosha kuhusu hali ya ccm ila walau najua kuwa malima na ded hawakubaliki kabisa na madiwani wakiongozwa na bw kubenea

kweli kabisa sipora aliingia na moto mkali sana mkuranga lakini sasa ameshikwa masikio na wajanja. Kuhusu mgogoro kati ya malima na baadhi ya madiwani hususani mh. Hassani dunda juzi waliitwa na wazee wa kata ya mkamba ili waaeleze chanzo cha wao kutoelewana hali iliyosababisha barabara ya kimanzichana -mkamba kutofanyiwa matengenezo kwa muda mrefu kwenye kikao hicho inadaiwa kama kawaida malima alikacha kikao hicho na kutuma wawakilishi ambao waligawa pesa tsh 4000 kwa kila mzee aliyefika. Kutokana na malima kupoteza mvuto inasemekana mpinzani wake kisiasa ndugu mtembei ameanza kujipanga kisiasa.
 
Wampeleke mzee Ali Hassan mwinyi akasawazishe

Zoezi la wafu kuzikana naona linaenda vizuri. Asante mungu baba kuruhusu haya kutokea maana bila wewe magamba wangetumaliza
 
Zoezi la wafu kuzikana naona linaenda vizuri. Asante mungu baba kuruhusu haya kutokea maana bila wewe magamba wangetumaliza

ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeennnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn
 
Zoezi la wafu kuzikana naona linaenda vizuri. Asante mungu baba kuruhusu haya kutokea maana bila wewe magamba wangetumaliza

madiwani hao wana njaa kali. ndio maana wanampiga vita huyo mama ambaye huhesabu mpaka vifusi barabarani kabla ya kupitisha malipo.
 
Kila Mtanzania alikua anshangaa kwa mtaji wa ANASA YA KUTISHA kwa huyu Mbunge wa Mkuranga na kujilinda na zana za kivita mikoani hivi kweli Wana-Mkuranga safu yao ya maendeleo itakua ni salama kweli.

JF, ni jukumu letu kutuma ujumbe mzito Mkuranga ili kuhakikisha kwamba SAUTI YA WANYONGE pale inasikika kama ambavyo krimu ya uongozi wao mashinani ukiongozwa na jopo kubwa la madiwa 18 walivyokwishatia shaka mwenendo mzima wa mambo huko jimboni.

Eti watu kama huyu Malima ndio kati ya watu wanaoitwa MAWAZIRI na kukaa kuamua hatima ya taifa letu; ni kero na huruma kweli!!!


Huo ni uongo mtupu.
1. Laptop tatu
2. Bunduki 2
3. Passport 2
4. US$4,000
5. TZS 1,500,000
6. Mikufu ya dhahabu
7. Shoe shining yake London
8. Mfadhili NRA

Watu hamna shukrani.
 
Huu mvutano wa madiwani na mkurugenzi Mkuranga ulianza pindi ambapo mkurugenzi wa sasa alipopelekwa. Kwa wale wenye kufuatilia mambo ya serikali za mitaa watamtambua huyu mama kuwa ni mtendaji wenye rekodi ya kutokudumu katika halmashauri ukianzia na Moshi Vijijini na baadae Monduli kutokana na kutokuogopa wanasiasa mafisadi. Ana rekodi nzuri ya kuboresha mapato ya halmashauri ila pia ni ngangari kweli kweli. Halmashauri ya Mkuranga imebadilika sana katika miaka 3 iliyopita kutokana na dira ya huyu mama na usimamizi wake, ujenzi wa jengo la ofisi umeshakamilika huku yale ya kituo cha kitega uchumi, machinjio, soko na stendi yakiwa katika mchakato mzuri.

Mkuranga ni wilaya kichaa iliyojaa wanasiasa wenye kuweka mbele maslahi binafsi na utete wa hali hii unajulikana hata TAMISEMI.

Huyu mama sio wala nini kamfukuza jamaa yangu kazi kisa alimtaka kimapenzi na jamaaa akamtosa. Anajifanya anajua kubana watu bt ndio type za kina Blandina Nyoni. CDM waende waweke nguvu ya kutosha pale 2015 tuchukue jimbo hilo
 
Mtafaruku mkubwa unafukutu ndani ya CCM Mkuranga baada ya madiwani 18 wa halmashauri ya Mkuranga kumpinga mbunge wao pamoja na mkurungenzi wa halmashauri ndugu Sipora Liana na m/kiti wa halmashauri ndugu Magaila kutokana na ubadhirifu wanaofanya.

Taarifa zinadai kuwa viongozi hao watatu wanashirikiana kwa pamoja kufuja mali za umma kwa maslahi yao binafsi.

Duru za siasa wilayani Mkuranga zinadai kuwa wananchi wengi hawana imani na viongozi hawa na taarifa kuna wazee wapatao 500 wamejiandikisha na wanafanya utaratibu na moja chama cha cha upinzani ili waweze kuhamia huko.

Wananchi wengi hawaridhishwi na uongozi wa mbunge wao adamu malima kuwa hajafanya cha maana tangu achaguliwe zaidi kumwaga nguzo za umeme chini bila kufanyiwa kazi kwa muda mrefu sasa pia mbunge huyo inadaiwa ana dharau na visasi kwa wananchi kwa wale ambao hawakumpa kura.

Adam Malima inasemekana haelewani na swahiba wake mkubwa diwani wa kata ya mkamba ndugu HASANI DUNDA, Malima inadaiwa hataki kabisa kumuona diwani.

swahiba wake mkubwa alafu haelewani nae. Swaiba kivipi tena hapo sasa!
 
Huyu Malima ni yupi? Yule aliyetapeliwa na Malaya baada ya uchovu?
 
Jimbo la Mkuranga kuzaa 'DHAHABU' CHADEMA hivi karibuni. Habari ndio hiyo.
 
hivi mbunge, mkuu wa wilaya au watu kwenye halmashauri yupi ndio bosi wa wote...nani ana say zaidi katika jimbo..??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom