Dogo noma yan hadi soda imefika nusu na anamalizia duuhUsijaribu egesha gari la soda kizembe
View attachment 664611
Naona lugha ya mitaa ya kule kwetu Nairobee imeshatua hadi bongo. Dasoo anazipenda sana yule mtoi(mtoto) anayeitwa Node(Deno) yaani Dennis. Kwenye sheng kichwa lazima kitauma.Dah!Dogo anapiga nyoka hadi soda?(mtaani tunatamka dasoo)
hahahaha nomaaaa hii nimecheka hatar
Yaan sheng full kuvurugana huwa sielewi kabisaNaona lugha ya mitaa ya kule kwetu Nairobee imeshatua hadi bongo. Dasoo anazipenda sana yule mtoi(mtoto) anayeitwa Node(Deno) yaani Dennis. Kwenye sheng kichwa lazima kitauma.
Usiwe na was mtu nguyaz, ukitembeza kiatu mitaa ya wajanjez, tao, yaani Nairobi au ukipenda 'concrete jungle' sheng utaing'am na kuirada tu mara dat dat budaboss. Hehe, samahani kwa kuvuruga lugha tuipendayo lakini hivo ndo ilivo jombaa. Sheng ni lugha ya kukanganya mafalastuka(washamba) na mamwere(wageni jijini). 😀😀😀Yaan sheng full kuvurugana huwa sielewi kabisa
HahahhahahahahaUsiwe na was mtu nguyaz, ukitembeza kiatu mitaa ya wajanjez, tao, yaani Nairobi au ukipenda 'concrete jungle' sheng utaing'am na kuirada tu mara dat dat budaboss. Hehe, samahani kwa kuvuruga lugha tuipendayo lakini hivo ndo ilivo jombaa. Sheng ni lugha ya kukanganya mafalastuka(washamba) na mamwere(wageni jijini). 😀😀😀