Ki ukweli kwa sasa kuna uhaba mkubwa wa soda, sasa sijui tatizo ni nini?!au kuna mabadiriko ya bei mpya inakuja?Huku wanasema hakuna kabisa nimetafuta kreti moja ya familia hakunaga kabisa kila kwa agent wanasema hakuna soda tangu mwisho wa mwaka jana
Wewe mtaani kwako zipo?
USSR
Video ileeee....Huku wanasema hakuna kabisa nimetafuta kreti moja ya familia hakunaga kabisa kila kwa agent wanasema hakuna soda tangu mwisho wa mwaka jana
Wewe mtaani kwako zipo?
USSR
Wape taarifa Pepsi, mimba yangu ikitoka nitawafungulia mashtaka, sio kwa mateso hayaHuku wanasema hakuna kabisa nimetafuta kreti moja ya familia hakunaga kabisa kila kwa agent wanasema hakuna soda tangu mwisho wa mwaka jana
Wewe mtaani kwako zipo?
USSR