Wakuu kuna taarifa kwamba yule mtaalamu wa milipuko wa alqaeda na anayehusishwa na milipuko iliyotokea katika balozi za Marekani, Dar na Nairobi amekamatwa. Amekamatwa uwanja wa ndege Cairo akiwa anatokea Pakistani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.