Nebart Chalaji
Senior Member
- Feb 15, 2013
- 143
- 192
kama una swali lolote juu ya masuala yahusuyo kilimo,tafadhali uliza.
chuo cha kilimNi chuo gani Tz kinafundisha vizuri kuhusu Hydroponic
chuo kikuu cha kilimo cha sokoine kilichopo morogoro ni chuo kinachotoa elimu ya hydroponic kwa hali ya juu sana.hydroponic kwa upande wa chakula cha mifugo na mazao pia.Ni chuo gani Tz kinafundisha vizuri kuhusu Hydroponic
ardhi ya morogoro imegawanyika katika kanda..Ni zao gani la kibiashara ambalo linakubali kwenye ardhi ya morogoro ambalo lina stable prices na soko ni la uhakika??
Wilaya ya Mvomeroardhi ya morogoro imegawanyika katika kanda..
kuna nyanda zilizopo juu,kati na chini.katika nyanda zilizopo juu ndizo hulima kahawa kwa kiwango fulani( zao hili lina bei isiyoyumba sana)
nyanda za chini hulima mpunga ambao kwa kweli hutegemea sana mvua ya mwaka husika,kwani mvua ikiwa ndogo bei huwa juu na kinyume chake.
hivyo swali lako ni zuri ila je unataka kulima wilaya ipi ya mkoa wa morogoro?
SUA huwa kuna kozi za muda mfupi ambazo hutolewa kwa wahitaji wa kozi husika,hivyo kama unahitaji kozi hiyo unaweza kwenda moja kwa moja SUA au mbadala wake unaweza kujifunza wataalamu wengine ambao wamebobea juu ya kilimo hicho cha kisasa kisicho hitaji ardhi.Okay, asante sana je wanatoa mafunzo ya hydroponic pekee ake kaa mtu unataka kusoma hydroponic tuu
Wilaya ya mvomero inafanya kilimo cha kokoa,ufuta,mpunga,ndizi,Kahawa,Maharage,mbaazi,nazi,choroko,nyanya,njegere,Mahindi,Mitiki.Wilaya ya Mvomero
Shukrani sanaWilaya ya mvomero inafanya kilimo cha kokoa,ufuta,mpunga,ndizi,Kahawa,Maharage,mbaazi,nazi,choroko,nyanya,njegere,Mahindi,Mitiki.
katika hivyo vyoote ni mpunga na kahawa ndio vyenye soko la kueleweka.katika hivyo viwili kahawa huchukua zaidi ya miaka mitatu kupata faida inayoonekana.
hivyo kama mvumilivu kalime kahawa na kama unataka pesa kwa haraka kalime mpunga hutajuta kabisa ila jiandae uhudumiaji.
ugonjwa wa mnyauko wa nyanya huweza kusababishwa na wadudu wengi sana na mmoja wao hujulikana kama Ralstonia solanacearum ambao kibongo bongo wamekuwa ni tatizo kubwa sana kuwaangamiza lakini njia zifuatazo huweza kupunguza kama si kumaliza kabisa tatizo la mnyauko wa nyanya.Dawa gani hutibu kinyaushi katika nyanya ugonjwa ambao hufanya mmea kusinyaa na badae kunyauka na kukauka kabisa .ikiwezekana na njia za kuuzuia
si razima,ila kwa ubora wa mazao yako kwa wanunuzi na pia njia rahisi kukinga wadudu hatari hewani(air borne microbes) na wadudu wengine unashauriwa ulime ndani ya kitalu nyumba (green house).Mazao yanayozalishwa ktk teknolojia ya hydroponic ni lazima yakuzwe ndani ya greenhouse
Teknologia ya hydroponics inakuza mazao hasa mbogamboga bila uwepo wa ardhi na hiyo virutubisho huweza kuwekwa kwenye maji ambamo mizizi ya mmea husika imepandikizwa au kushikizwa na mazingira stahiki huwa ni kwenye kitaru nyumba(green house) na ikifanyike nje ya hapo huwa kunakuwa na changamoto nyingi hasa wadudu na magonjwa.Au yanakuzwa ktk mazingira gani?
kabla hujaanza kulima angalia hali ya hewa kama inaruhusu kilimo viazi hali ya 10-22cNaomba kujua mahtaji ya kuzalisha viazi ulaya.
Labda nianze kwa kusema kuwa watu wengi hushindwa kutofautisha kati ya green house na net house.Kuna tofauti gani kati ya green house na net house?
Je, kunakuwa na tofauti ya ubora wa mazao ya mbogamboga kutegemea mfumo uliotumika (gh au net house)?