GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,177
Amesema kwenye Mahusiano ya kweli na ya dhati kabisa lazima wote wawili mtakuwa na afya njema na hata Miili yenu itakiwa ' inanawiri ' kwa Kunenepa ama Kiasi au Sana ila ukiona hali ni tofauti jua haupo kwa Mtu sahihi hivyo fanya maamuzi ya haraka ya Kuachana nae na umtafute yule aliye sahihi na chaguo lako la kweli / dhati.
Haya siyo maneno yangu GENTAMYCINE bali ni maneno ya Kiutaalam na Kisaikolojia kabisa kutoka Mtu mmoja maarufu kwa Elimu ya Saikolojia nchini ( jina Kapuni / nalihifadhi ) ambapo aliweza ' Kunidokezea ' na Mimi baada ya kuambiwa hili nilianza kuwaangalia Marafiki zangu wawili watatu ambapo kuna mmoja kabla hajaoa alikuwa ni SIMTANK lakini alipooa tu sasa amekuwa FIDODIDO na anazidi tu ' Kukongoroka ' huku kuna mwingine kabla ya Kuoa Yeye na Mwenzake wote walikuwa ' mbaumbau ' lakini tokea waishi pamoja sasa ' wamenenepeana ' mno halafu wanapendana Kunakotukuka hadi Sisi wengine ambao bado ni ' Waoga / Manyali ' wa Kuoa tunawaonea Wivu.
Kazi ipo!
Nawasilisha.
Haya siyo maneno yangu GENTAMYCINE bali ni maneno ya Kiutaalam na Kisaikolojia kabisa kutoka Mtu mmoja maarufu kwa Elimu ya Saikolojia nchini ( jina Kapuni / nalihifadhi ) ambapo aliweza ' Kunidokezea ' na Mimi baada ya kuambiwa hili nilianza kuwaangalia Marafiki zangu wawili watatu ambapo kuna mmoja kabla hajaoa alikuwa ni SIMTANK lakini alipooa tu sasa amekuwa FIDODIDO na anazidi tu ' Kukongoroka ' huku kuna mwingine kabla ya Kuoa Yeye na Mwenzake wote walikuwa ' mbaumbau ' lakini tokea waishi pamoja sasa ' wamenenepeana ' mno halafu wanapendana Kunakotukuka hadi Sisi wengine ambao bado ni ' Waoga / Manyali ' wa Kuoa tunawaonea Wivu.
Kazi ipo!
Nawasilisha.