Mtaala wa Madaktari una upungufu

Nchi inahitaji vitu viwili tu;

Watu na Ardhi.

Uzao wa watu ni kila jambo lifanywalo na watu ikiwa ni pamoja na yale ambayo leo hii ni ndoto.
Elimu,teknolojia,utamaduni,lugha, madktari, walimu, wakulima, wanasiasa,mfumo wa uchumi na siasa,imani, dini,kujamiiana nk

Ardhi uzao wake ni asili yote ituzungukayo. Anga ,hewa, maji, uoto, madini, bahari mito maziwa, mawe, mchanga,nyasi nk

Reasoning na logic ndo pekee husukuma mtu ku draw conclusion.
Awareness, Environment,Expectation, Level of education,Motivation and Status in the society,

Vinaweza kuathiri reasoning na logic ya mtu.

Inawezekana, lakini haitokei mara nyingi wanaofaidika na uoza wa ruling Class kupinga maamuzi ya ruling class.

Mtu asiye jua structure ya ukoloni mambo leo ni nadra kwake kuutambua na kuupinga.

Ili nchi iwe nchi inahitaji watu na ardhi,hata hivyo experience inaonyesha kwamba daktari mmoja ni muhimu kuliko wana siasa wote kwa pamoja.



Nilijua tu utatokea mtu kama wewe ambaye kazi kukubali kila kitu madaktari wasemayo bila hata kujua tija yao, siku madatari wakisema tunataka wake zenu nadhani kuna watu kama nyie mtakubali coz mmeaminishwa na mmeamini kwamba taaluma ya udaktari tu ndio taaluma sahihi na yenye kuendesha nchi na inabidi wasikilizwe kila wasemalo na muda wowote wasemao na inabdi litimizwe instantly.
 
Nchi inahitaji vitu viwili tu;

Watu na Ardhi.

Uzao wa watu ni kila jambo lifanywalo na watu ikiwa ni pamoja na yale ambayo leo hii ni ndoto.
Elimu,teknolojia,utamaduni,lugha, madktari, walimu, wakulima, wanasiasa,mfumo wa uchumi na siasa,imani, dini,kujamiiana nk

Ardhi uzao wake ni asili yote ituzungukayo. Anga ,hewa, maji, uoto, maini, bahari mito maziwa, mawe, mchanga,nyasi nk

Reasoning na logic ndo pekee husukuma mtu ku draw conclusion.
Awareness, Environment,Expectation, Motivation and Status in the society,

Vinaweza kuathiri reasoning na logic.

Inawezekana, lakini haitokei mara nyingi wanaofaidika na uoza ruling Class kupinga maamuzi ya ruling class.
Mtu asiye jua structure ya ukoloni ambo leo ni nadra kwake kuutambua na kuupinga.

Ili nchi iwe nchi inahitaji watu na ardhi,hata hivyo experience inaonyesha kwamba daktari mmoja ni muhimu kuliko wote kwa pamoja.

Man u don't know what you're talking about.
 
Yusufummaka sikubaliani na wewe hata kidogo. Katika serikali hii kuna viongozi waliobobea katika taaluma na uongozi waliosoma masuala ya uongozi ktk taasisi za ndani na nje nyingi tu. Watu wana madigree ya kufa mtu. Kuna wanasheria wenye sifa za kimataifa kwa jinsi ya ufaulu wao. Ndani ya serikali kuna watu wa kila fani waliobobea pasipokuacha shaka. Lakini tunashuhudia watu hao wanafeli kuleta mabadiliko ya maendeleo kwa umma. Unasema madaktari hawana negotiation capability, mbona hawa viongozi na wataalamu waliopo serikalini wanafeli katika negotiations kwenye mikataba mbalimbali ya kimataifa? Tunaishia kulizwa kila siku na kila sekta. Hata vitu ambavyo viko wazi kwa kila mtu kujua hata ambaye hana darasa kabisa, wao wanasaini. Mifano iko mingi na wewe unaijua sitaki kuirudia hapa. Kurejesha fedha zilizoko nje, mbona wananchi hatukuungana kuandamana kushinikiza Andrew Chenge afunguliwe mashitaka licha ya ushahidi wa wazi wa kurejesha fedha alizofisadi. Tulisubiri madaktari ndo wafanye hiyo kazi ya kutuambia tumeibiwa? Yako madudu mengi yako ndani ya serikali na CCM hayafai hata kuendelea kuyaongelea maana hakuna la maana litalofanyika labda hadi serikali iondoke madarakani. Wewe naona ni kati ya mafisadi au unanufaika na matendo maovu ya serikali. Mtu akidai haki yake hata kama ni mnyonge asiyejua sheria hata moja, ndo avamiwe, kuteswa na kuuawa? Acha hizo bwana, hii nchi imefika pabaya.
 
Mimi naona madaktari muendelee na mgomo tena mkaze uzi kweli kweli. Kama ni wananchi kufa acha tufe tu hadi tupate akili. Watakaokuja nyuma yetu watajua cha kufanya kutetea maslahi ya nchi yetu. Wakati mwingine mtu unatamani hata vita viingie nchini kama Rwanda labda ndo viongozi watabadilika. Lakini kuendelea na hii amani ambayo haitunufaishi chochote na badala yake inazidi kutupumbaza na kuzidi kupoteza raslimali za taifa, ni upumbafu uliopita kiwango. Wafanyakazi wote wa serikali nchi nzima wangegoma kuwaunga mkono madaktari ndo ingekuwa poa.
 
Wish I could like this thread like 1000times, umenisemea yote niliyokua nawaza. Sasa shida inakuja kwa wabongo wanaowaunga mkono migomo ya madaktari bila hata kujua ni nini madatari wanagomea, pale ni mtu anaomba aongezewe mshahara wake sio kuboresha huduma mahospitalini hiyo ni kama subsidiary tu kwao.
Drs. Wana madai zaidi ya 10, ajabu ni pale selikali na mafisadi wenzao wanapoamua kukomaa na dai 1 tu, la mshahara!. Mtoa mada anataka tumwone mwenye busara kumbe poyoyo wa kutupwa, Eti hawana negotiationi skils! Ninyi wenye skills mbona mnaingia mikataba ya aibu, yenye mirahaba ya 3%, au ni ma drs. ndo wanaosain mikataba hiyo? Pamoja kuathiri ka na migomo hii bado nawaunga mkono, ni wenye registresheni namba za Apolo na wasiotaka kufikiri ndio wanapinga mgomo huu! Mtoa mada acha unafiki. Naamini kuwa, selikali ingekuwa na moral authority ingeweza kutatua mgogoro huu kwa kutamka na ikawa!
 
tungewaelewa ma dr kama kipengele kile cha mshahara kisingekuwepo, hamna uzalendo huo nyie.
 
Nilijua tu utatokea mtu kama wewe ambaye kazi kukubali kila kitu madaktari wasemayo bila hata kujua tija yao, siku madatari wakisema tunataka wake zenu nadhani kuna watu kama nyie mtakubali coz mmeaminishwa na mmeamini kwamba taaluma ya udaktari tu ndio taaluma sahihi na yenye kuendesha nchi na inabidi wasikilizwe kila wasemalo na muda wowote wasemao na inabdi litimizwe instantly.
hatuhitaji darubini kuona mapungufu yaliyopo ktk hospitali zetu, maana tunatibiwa huko! Ni wana Apolo tu kama wewe ndo wasiyoweza kuyaona!
 
tungewaelewa ma dr kama kipengele kile cha mshahara kisingekuwepo, hamna uzalendo huo nyie.
Mimi nawaelewa madaktari, wasio eleweka ni wale wanaolipwa zaidi ya 3.5 kwa kupiga porojo tu, huku wakificha pesa zingine nje ya inchi!.
 
Zamani kulikuwa na mabwana AFYA na mabibi AFYA nafahamu hata sasa bado wapo, ambao moja ya kazi yao ilikuwa kutoa elimu ya afya na lishe kwa umma ili kupunguza unnecessary congregation in medical centres.
Waliweza kusaidia kupunguza maradhi kama kichocho, safura, minyoo, TB, kwashiokor, n.k. ili scarce facilities zilizopo zitumike kuhudumia wagonjwa wengine. Rudisheni mfumo huo wa kuhutubia mikutano kama wafanyavyo wanasiasa au hubirini kama wafanyavyo wahubiri kupunguza maovu mitaani. Mkifanya hivyo mtapata wateja wachache mahospitalini ambao mtaweza kuwamudu, badala ya kufikiria kujenga mamochuare makubwa zaidi, mawodi makubwa ya kulaza wagonjwa milioni 3 kwa mpigo, n.k. punguzeni patients kwa kila namna.
 
Back
Top Bottom