Mtaa wa saba..

Mtaa wa saba..

Mentor

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2008
Posts
20,334
Reaction score
23,941
This one hapenned for real..
Juzi Ijumaa usiku tupo mtaa wa saba tunapata vya kupooza akili..mara wakapiga lile lisongi la "Wanaume tumeumbwa, mateso, mateso, kuhangaika.."
Mara akatokea shoga akasimama akasema: (kwa sauti ya kishoga) "Aku, mi sipo huko. Mi nlijua ndo maana nkatoka huko siku nyingi!"
Aah..bwana watu tuliishiwa nguvu kwa kucheka...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom