Tunawakakaribisha Wageni waje kuishi Tz,ukarimu wetu ndio unatuponza wanatake advantages kufanya mambo ya uhalifu,na katika africa nchi ambayo bado ina watu wakarimu nadhani ni Tz.nchi nyingi za africa Zina ukabila na udiniwajinga wanasapoti wanaijeria ioa hao jamaa ni hatari wanapenda biashara ya kuuza watu ndo zao , SA sio wajinga kaa tunavyofikiri
, kama upo ndani ya nchi yako uliyozaliwa hauwezi kumuelewa mgeni katika nchi yako mpaka siku moja utoke na wewe uwe mgeni kwenye nchi ya mwenzako