Ojuolegbha JF-Expert Member Sep 6, 2020 741 479 Nov 7, 2023 #1 Tangazo la Kupokea maoni kuhusu Mswada. Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Bemendazole JF-Expert Member Nov 14, 2020 2,363 5,884 Nov 7, 2023 #2 Na sisi wa bara tunaruhusiwa kutoa maoni?
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 80,863 93,648 Nov 7, 2023 #3 Mambo yenu ya Zanzibar sisi hayatuhusu
Bemendazole JF-Expert Member Nov 14, 2020 2,363 5,884 Nov 7, 2023 #4 Nimeziangalia baadhi! Nadhani hizi ni sheria mpya. Wacha kwanza zipitishwe tuone zinafanyaje kazi field. Zikisha anza kung'ata vilio vikasikika, ndio tutakuja sasa kufanyizia amendment. Kwa sasa wanaweza kuzipitisha kama zilivyo. Kila la kheri kwa wawakilishi katika kuzipitisha na kwa Rais-Zbar katika kuzisaini.
Nimeziangalia baadhi! Nadhani hizi ni sheria mpya. Wacha kwanza zipitishwe tuone zinafanyaje kazi field. Zikisha anza kung'ata vilio vikasikika, ndio tutakuja sasa kufanyizia amendment. Kwa sasa wanaweza kuzipitisha kama zilivyo. Kila la kheri kwa wawakilishi katika kuzipitisha na kwa Rais-Zbar katika kuzisaini.