Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
- Thread starter
- #21
Jamaa yuko vizuri siku akimua! Kuna siku aliandika hisia zake na kero za umeme wa mgao bila kuweka jazba zake za kidini wala UCCM aliandika kwa machungu kwa maslahi ya taifa. Leo tena amekuja na article nzuri ingawa ni copy and paste ya gazetini. Kudos SokoMoko. Kuna shida kwenye serikali ya Kikwete ameona aibu Msuya kuweka wazi kuwa jamaa wa kikwere anavurunda.
Dogo una maana gani kwenye hiyo bold? udini ni nini? hivi kikiwa na mgao wa dini gani wanataabika na wa dini ipi wanapeta? na ugumu wa maisha je? vipi kuhusu CCM wao hawakatili umeme na wanaishi sayari nyingine sio hii tunayoishi sote hawaishi TZ? Maana wewe mwenzetu haupo TZ na wala hujui kunguni wake wakoje unasimuliwa tu rudi uyaone halafu tuone kama utajadili dini hapa.