MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
Mniwie radhi ila huyu mzee naona kama anakaribia kufa kwa hizi kauli zake. Hata mzee kawawa alianza hivi hivi. Kaniudhi sana kwa kutomheshimu dr phD. Kwetu vijana ambao hatukuushuhudia uongozi wa mwalhmu huwa tunafarijika sana na uwepo wa Slaa kuliko anavodhani huyu mzee na magamba wenziea